Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
1) Sirini kuna lile joto ambalo husababisha unyevu muda wote.Rejea tu kichwa cha Habari na karibuni katika kuchangia.
2) Sirini kuna virutubisho fulani fulani abavyo ni mbolea tosha, ukiweza tumia vidole vyenye kucha jiukune utaona uchavu fulani hivi (NB Mbolea ni Uchafu & Vice versa)
3) Sirini zimefunikwa hivyo zimehifadhiwa, hakuna rabsha za hapa na pale, safe guaranteed