Kwanini Nyerere na Kawawa hawakurithisha watoto wao madaraka?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,863
141,798
Tunajua mchicha huzaa mchicha mfano Lusekelo,Malasusa na Mokiwa hawa ni watoto wa wachungaji nao leo hii ni wachungaji/maaskofu.Pia wapo watoto wa wanasiasa ambao nao leo hii ni wanasiasa maarufu kama Januar etc.Najiuliza tu ni kwanini hatuna akina Nyerere/Kawawa walau ktk level ya uwaziri leo hii?Je walibanwa na maadili au uongozi ni karama na siyo mbeleko?Maoni yenu tafadhali
 
kwa sababu hawakuwa watoto wa mjini ile harufu ya u-'dar si salama' hawakuwa nayo, ila walivyokuja wazee wa fursa... mama weeeee... ndo wakawaonesha madaraka yanatumiwaje
 
Tunajua mchicha huzaa mchicha mfano Lusekelo,Malasusa na Mokiwa hawa ni watoto wa wachungaji nao leo hii ni wachungaji/maaskofu.Pia wapo watoto wa wanasiasa ambao nao leo hii ni wanasiasa maarufu kama Januar etc.Najiuliza tu ni kwanini hatuna akina Nyerere/Kawawa walau ktk level ya uwaziri leo hii?Je walibanwa na maadili au uongozi ni karama na siyo mbeleko?Maoni yenu tafadhali
Uongozi Ni kipaji Si nasaba. Mbona Kuna watoto wengi tu WA viongozi WA dini au siasa Ni walevi wasiofaa kwa lolote !
 
Back
Top Bottom