Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?

Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
hivi hujui rasilimali kubwa kabisa ktk kuleta maendeleo ni watu? kama watu wa huko unakoita kusini hawakuwa na nia ya kuendelea, nyerere anangewaendelezaje?
 
Ndugu yangu shule niliyosoma mimi inatwa Nyakato iko Bukoba na ilijengwa mwaka 1927.. Na hii ni ya Nyerere, shule imesomesha wengi kama waziri kagesheki na nazir karamagi.. .
Jamani acheni kujidhalilisha kwa ajili ya huyu mtu!
Hiyo Shule Nyerere aliijenga kwa hela zake mfukoni hata iwe ya kwake?! ni hela ya nchi ukiwemo wewe mwenyewe mwananchi......halafu shule iliyojengwa mwaka 1927! wakati huo Nyerere alikuwa na miaka mingapi?
Mnapindisha historia, kuufunika utamaduni wenu kwa ajili ya huyu mtu.
 
Nipo mtwara sasa. Nimefika Lindi pia. Wakristo wanamiminika kwa wingi kuchangamkia fursa za maendeleo. Nyie wana Uamsho endeleeni kula kashata na kahawa pamoja na kucheza bao......
 
hakuna kitu kama hiki kwenye ukristo.huko kwenu ndiko mnajilipua ili kuiona pepo naona zanziber mmeanza mazoezi ya kujifunga mabomu kwenye umati wa watu

pili swala maeneo flani kutoendele ni matatizo ya wakoloni kwani wao walikuja kutafuta mahitaji ya viwanda vyao kwakile kinachoitwa monopolistic demand
kwa hali hii usitegemee waje watoe maendeleo nchi nzima(kwa faida ya nani?)
wakoloni wa mwanzo (wajerumani) walijenga reli baadhi ya maeneo kwa sababu zao.. Mbona haikujengwa Bukoba..
Na ukumbuke wakoloni walitenga maeneo kutona na mahitaji yao kwa mfano Kigoma na Rukwa yalikua ni lobor zone haya ni maeneo maalumu kwa kutoa vibarua wa mashamba yao.. Sasa maeneo kama haya yasingeweza kuendelea..

Maeneo kama kagera kule wakoloni walipokuja walikuta kahawa zimeanza kulimwa zamani hivyo wakaendeleza kwa mfumo wa peasant economy.. Na shule zilikua kama motisha ili wasomeshe waliitaji wazalishe kahawa kwa wingi..

Ndugu yangu shule niliyosoma mimi inatwa Nyakato iko Bukoba na ilijengwa mwaka 1927.. Na hii ni ya Nyerere, shule imesomesha wengi kama waziri kagesheki na nazir karamagi..

Unajua kule Bukoba na kule kilimanjaro zile associations zilizoundwa kwa ajili ya kahawa zilitumika kusomesha watoto wa wakulima hata kabla ya Nyerere..

Hivi unajua hata kabla ya kuanzisha katani pale Tanga wajerumani walifanya utafiti wa kisayansi na aina nyingi za katani zilishindikana zikakubali aina chache
hii inaonesha hawa jamaa walikua hawakulupuki..

Unajua mwaka 1888 wamepigana sana vita na waarabu wa Tanga hasa Abushiri na bwana heri kwasababu ya watumwa pale pangani
sasa eneo kama hili wasingeweza kuwekeza sana..

Ndugu yangu soma historia ya nchi yako.mwl Nyerere hausiki na maeneo hayo kutoendelea,tena kama si yeye kule Bukoba na kilimanjaro wasomi wangekuwa wengi zaidi (kuna malalamishi kwamba wahaya wamefelishwa kwa makusudi kupunguza speed yao katika elimu..


Jamani acheni kujidhalilisha kwa ajili ya huyu mtu!
Hiyo Shule Nyerere aliijenga kwa hela zake mfukoni hata iwe ya kwake?! ni hela ya nchi ukiwemo wewe mwenyewe mwananchi......halafu shule iliyojengwa mwaka 1927! wakati huo Nyerere alikuwa na miaka mingapi?
Mnapindisha historia, kuufunika utamaduni wenu kwa ajili ya huyu mtu.

Mkuu Sideeq, umemsoma vibaya uliyemnukuu. Tafadhali soma tena hapo pekundu tu.

Hoja yake kubwa ni kuwa Mikoa ya Kagera na Kilimanjaro ilijenga shule nyingi kabla ya uhuru na kabla ya Nyerere kwa kutumia zile Associations zao. Na mfano aliotoa ni hiyo ya Nyakato.


Hajasema kuwa Nyerere alijenga Nyakato 1927.
 
Nipo mtwara sasa. Nimefika Lindi pia. Wakristo wanamiminika kwa wingi kuchangamkia fursa za maendeleo. Nyie wana Uamsho endeleeni kula kashata na kahawa pamoja na kucheza bao......

Chuo Kikuu Stella Maris, Mtwara. Chuo kikuu cha kwanza mikoa ya kusini, kimefunguliwa na Catholic Church. Si serikali ya CCm. Si Kikwete wala Mkapa.
 
..mara nyingi kiongozi anayeendekeza upendeleo basi dalili huanza kujionyesha kwenye familia yake, kijiji anachotoka, au wilaya.

..ukiangalia watoto wa Mwalimu wote wamesoma ktk shule zilezile tulizokuwa tukisoma walalahoi. tena hata vyuoni wamesoma vyuo vya hapahapa nyumbani.

..Mwalimu alikuwa na watoto wake wawili waliokuwa jeshini wakati wa vita vya Iddi Amini. Vijana hao walikwenda mstari wa mbele kama wa-Tanzania wengine. je hayo yanaweza kutokea ktk Tanzania ya leo na hawa viongozi tulionao?

..sasa kuna taarifa za kiongozi mmoja aliyehamisha wanae kuwapeleka shule "bora zaidi" baada ya kupata madaraka makubwa zaidi. kiongozi hiyo akawatorosha wanawe wasijiunge na JKT kwa mujibu wa sheria.

..binafsi sina uhakika kama leo hii kuna mtoto wa mkulima hii anaweza kubahatika kusoma ktk shule ya serikali na mtoto wa mbunge, waziri, au raisi. Wakati wa Mwalimu Nyerere watoto wa viongozi tulikuwa tunakutana nao mashuleni, JKT, na hata vyuoni .
 
Mtoa mada si mkweli binafsi nimesomea Mkomaindo primary -masasi Day- BWM High -SAUT na sasa Udom zote hizo shule zilikuwepo kabla ya Nyerere, Nenda Chidya, Ndanda sekondari. Tatizo la ndugu zangu ni kulalalamika.Babu yangu alikuwa Muislamu safi na aliwaruhusu watoto wake wote kwenda Missionary school na kufaulu na sisi wajukuu kufanikiwa kupitia nafasi zao za malezi bora.Hakuna shule iliyoachwa na mwarabu kule ila wakristu ndiyo walioacha shule.Waislamu muwalaumu babu zenu na waarabu kwa kutokuanzisha mifumo ya elimu na kung'ang'ania biashara ya utumwa. Babu zenu na mama zenu kutotaka kushiriki mfumo uliokuwepo.Ila Nyerere aliwakomboa kwa kutaifisha shule za Missionary mfano Ndanda secondary na Chidya ili nanyi mkasome. Meja Jenerali Moses Nnauye (Marehemu) aliwa kusema " ndugu zangu waislamu walikataa shule kusini kwa kuogopa kula nguruwe" ona sasa mwanaye anavyotusumbua kupitia magambas.
na kuhusu kutoendelea kusini unamaanisha nini? watu maisha ya kule hakuna tofauti na upande mwingine wa Tanzania hii ,tembea uone, shilingi elfu kumi uliyonayo thamani na matumizi yake ni yaleyale ukiwa Mtwara, Bukoba, Shy, mwanza , Moshi maisha ni magumu tu.
 
Kapeleka pesa za umma kanisani (katoliki for 24yrs) na kuwajaza wakatoliki wenzake wachote pesa za umma..

hatimaye kaambulia mwenye heri (st. nyerere mungu akurehemu)

Nataka ujue miongoni mwa makanisa yanayojiendesha kwa mfumo wa kisayansi, Katoliki ni miongoni mwake. Tanzania ya Nyerere ilitoa wapi pesa za kuusaidia ukatoliki? Wewe unajua kwamba wakati ule zao pekee lililokuwa likitegemewa na Tanzania ni katani na kidogo kahawa. Pamba yetu Nyerere alisisitiza nyingi itumike kwenye viwanda vyetu vya ndani. Ndo maana katika kipindi chake kulikuwa na viwanda vingi vya nguo kuliko leo!

Wakatoliki wanathamini maendeleo ya jamii ambamo ndani yake wamo wauumini wake, ndo maana miradi ya kijamii ni mingi. Kuna shule kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu, Kwenye sekta ya Afya kuna kuanzia dispensari hadi hospitali za Rufaa, Mwisho wa siku miradi hii ni vyanzo vya mapato! Kulikuwa na uzi hapa katika JF uliokuwa na kichwa cha maneno Kanisa katoliki Arusha kununua shule kwa Tshs milioni mia nne! Ukitazama kwa mtazamo wako unaona nikama kupoteza fedha! Lakini hili ni bonge la Mradi. Hata wewe pamoja na msimamo wako hasi kwa Nyerere unafika mahali lazima mtoto wako utampeleka shule. Usipofamnya hivyo unamtayarisha mtoto wako kuwa MANAMBA na mtu wa kulalamika kama wewe baba yake!
 
Historia imeeleza vizuri alikuta ukanda,hata hivyo alijitahidi kuedeleza akataifisha shule lkn wakoloni hawakujenga sana maeneo ya pwani alikwepo mwarabu ndiye wa kumlaumu maana aliangalia biashara tu
Mkoloni yupi unayemzungumzia? Muingereza alikuja kama "mdhamini" baada ya Mkoloni Mjerumani kushindwa vita ya Dunia, hivyo Muingereza alikuwa akijua kuwa wakati wowote ule ataondoka tu ndipo alipohakikisha kuwa siku ya kuondoka hataiwacha nchi katika mikono ya Waislamu, akawanyima elimu Waislamu na ndio maana hakujenga mashule katika maeneo ya Waislamu.
Muingereza akawapa elimu Wakristo ili kuhakikisha kuwa wakati atakapo ondoka anawaachia wao nchi!
Waislamu baada ya kuona wanabaguliwa wakaanza kudai uhuru kilichofuatia ni Nyerere kujipenyeza na kuli hijack suala zima la ukombozi wa nchi hii!
 
Mkoloni yupi unayemzungumzia? Muingereza alikuja kama "mdhamini" baada ya Mkoloni Mjerumani kushindwa vita ya Dunia, hivyo Muingereza alikuwa akijua kuwa wakati wowote ule ataondoka tu ndipo alipohakikisha kuwa siku ya kuondoka hataiwacha nchi katika mikono ya Waislamu, akawanyima elimu Waislamu na ndio maana hakujenga mashule katika maeneo ya Waislamu.
Muingereza akawapa elimu Wakristo ili kuhakikisha kuwa wakati atakapo ondoka anawaachia wao nchi!
Waislamu baada ya kuona wanabaguliwa wakaanza kudai uhuru kilichofuatia ni Nyerere kujipenyeza na kuli hijack suala zima la ukombozi wa nchi hii!

Si kweli.

Huduma za jamii kabla ya uhuru zilikuwa sehemu ambazo kuna shughuli za kiuchumi za Wazungu, na mara nyingi zilikuwa ni mashamba makubwa:

Plantations: maeneo ya Tanga ambayo yalikuwa na mkonge na ambayo hatuwezi kukataa kuwa Tanga ni sehemu ya Waislamu wengi.

Settler farms: Arusha, Moshi, Mbeya, na Bukoba.

Route Centers: Tabora, ambayo pia huwezi kukataa kwamba nako kuna waislamu wengi.

Walijenga maeneo hayo kwa kuwa wao wenyewe waliishi maeneo hayo, na walihitaji huduma hizo. Hakukuwa na uhusiano na dini kama unavyojaribu kusadikisha.

Ndio maana shule ya kwanza ya Tanganyika ilijengwa Bagamoyo, ambayo wakati huo ilikuwa makao makuu ya Wajerumani. Sijui kama kulikuwa na Wakristo pale.

It is interesting kujiuliza kwa nini Bagamoyo ilirudi nyuma licha ya kuwa na shule ya kwanza.
 
Si kweli.

Huduma za jamii kabla ya uhuru zilikuwa sehemu ambazo kuna shughuli za kiuchumi za Wazungu, na mara nyingi zilikuwa ni mashamba makubwa:

Plantations: maeneo ya Tanga ambayo yalikuwa na mkonge na ambayo hatuwezi kukataa kuwa Tanga ni sehemu ya Waislamu wengi.

Settler farms: Arusha, Moshi, Mbeya, na Bukoba.

Route Centers: Tabora, ambayo pia huwezi kukataa kwamba nako kuna waislamu wengi.

Walijenga maeneo hayo kwa kuwa wao wenyewe waliishi maeneo hayo, na walihitaji huduma hizo. Hakukuwa na uhusiano na dini kama unavyojaribu kusadikisha.

Ndio maana shule ya kwanza ya Tanganyika ilijengwa Bagamoyo, ambayo wakati huo ilikuwa makao makuu ya Wajerumani. Sijui kama kulikuwa na Wakristo pale.

It is interesting kujiuliza kwa nini Bagamoyo ilirudi nyuma licha ya kuwa na shule ya kwanza.
Ninazungumzia Muingereza wewe unanitajia Mjerumani!...........elimu za "NECTA" hizo!
 
Ninazungumzia Muingereza wewe unanitajia Mjerumani!...........elimu za "NECTA" hizo!

Muingereza alikuwa na pattern ile ile. Muingereza bado zao lake kuu lilikuwa ni Mkonge, na bado maeneo ya Arusha na Moshi walikuwa na mashamba ya kahawa.

Tanzania wote tunapitia NECTA, au wewe ulifanya mitihani gani.

Nadhani bado tunaweza tukatunziana heshima wakati tunajadiliana. Sijazoea kukashifiana plz. Si malezi yangu si utamaduni wangu.
 
Nataka ujue miongoni mwa makanisa yanayojiendesha kwa mfumo wa kisayansi, Katoliki ni miongoni mwake. Tanzania ya Nyerere ilitoa wapi pesa za kuusaidia ukatoliki? Wewe unajua kwamba wakati ule zao pekee lililokuwa likitegemewa na Tanzania ni katani na kidogo kahawa. Pamba yetu Nyerere alisisitiza nyingi itumike kwenye viwanda vyetu vya ndani. Ndo maana katika kipindi chake kulikuwa na viwanda vingi vya nguo kuliko leo!

Wakatoliki wanathamini maendeleo ya jamii ambamo ndani yake wamo wauumini wake, ndo maana miradi ya kijamii ni mingi. Kuna shule kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu, Kwenye fani ya Afya kuna kuanzia dispensari hadi hospitali za Rufaa, Mwisho wa siku miradi hii ni vyanzo vya mapato! Kulikuwa na uzi hapa katika JF uliokuwa na kichwa cha maneno Kanisa katoliki Arusha kununua shule kwa Tshs milioni mia nne! Ukitazama kwa mtazamo wako unaona nikama kupoteza fedha! Lakini hili ni bonge la Mradi. Hata wewe pamoja na msimamo wako hasi kwa Nyerere unafika mahali lazima mtoto wako utampeleka shule. Usipofamnya hivyo unamtayarisha mtoto wako kuwa MANAMBA na mtu wa kulalamika kama wewe baba yake!

Mfumo gani wa kisayansi "labda sayansi ya kutumia pesa za umma kwa ufisadi"

Of course ni mfumo sawa na wale mafisadi walioko serikalini maana wengi wameiga kutoka hilo kanisa ndio hatutakaa tuendelee, mfumo kristo ni curse..aisee
 
Muingereza alikuwa na pattern ile ile. Muingereza bado zao lake kuu lilikuwa ni Mkonge, na bado maeneo ya Arusha na Moshi walikuwa na mashamba ya kahawa.

Tanzania wote tunapitia NECTA, au wewe ulifanya mitihani gani.

Nadhani bado tunaweza tukatunziana heshima wakati tunajadiliana. Sijazoea kukashifiana plz. Si malezi yangu si utamaduni wangu.

Ukitaka kupata majibu ya maswali yako jiulize yafuatayo:

a. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini hakukuwepo na mradi wa kujenga shule, barabara na viwanda katika mikoa ya kusini??

b. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini waziri wa elimu alikuwa mkatoliki tena padre???

c. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini aliwekeza katika kuwaendeleza wakatoliki na kuwapa nafasi serikalini za upendeleo, hadi mtu wa kawaida unashindwa kutofautisha kanisa na serikali???

d. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini kulikuwa na wafanyakazi wachache serikalini kutoka kusini??

NB. Usiniambia hawataki wenyewe, maana nimeshaenda Hanang ambako alijenga shule za bweni kwa watu waliokataa kabisa kusoma..angeweza kufanya the same?? unajua ni kwani hawajawasaidia??

Rais pekee anayeongoza kwa ubaguzi na udini Tanzania (st. nyerere mungu amrehemu)
 
Achana naye huyo,ni kati ya wachochezi waliojaa chuki dhidi ya Wakiristo hasa Wakatoliki. Kila siku kuhubiri ujinga na kupotosha ukweli kwa ndugu zao wenye elimu duni na masikini.
Muingereza alikuwa na pattern ile ile. Muingereza bado zao lake kuu lilikuwa ni Mkonge, na bado maeneo ya Arusha na Moshi walikuwa na mashamba ya kahawa.

Tanzania wote tunapitia NECTA, au wewe ulifanya mitihani gani.

Nadhani bado tunaweza tukatunziana heshima wakati tunajadiliana. Sijazoea kukashifiana plz. Si malezi yangu si utamaduni wangu.
 
Sehemu zenye waislamu wengi ziko nyuma coz waislamu walikataa shule toka miaka na miaka wao walikalia kujifunza madrasa tu, shule kibao zilijengwa dar na pwani kama mpango maalum wa kuiendeleza pwani lakini mwisho wa siku wazaramo wameishia kucheza ngoma tu na shule hizo wamebaki kusoma watu wa mikoani. Kwa upande wa kusini, sijui kama hapo unajumlisha mikoa ya Mbeya na Iringa naamini unaongelea zaidi Lindi na Ruvuma coz huko nako hakujaendela sana na sababu ni hizo zinazohusiana na mambo ya waislamu kukataa elimu na kuweka mbele zaidi madrasa kwaajili ya kujifunza dini zaidi. Mbeya na Iringa nadhani unajua kwamba sasa ni kati ya mikoa mikubwa na yenye maendeleo TZ.
 
Si kusini tu, tazama mikoa yote yenye Waislaam wengi. Hiyo yote ni katika 83/17.

Kwani unafikiri uwenye heri kaupata kwanini na anapigiwa chapuo za kufanywa mtakatifu kwanini?
 
Hakuna sehemu katika Tanganyika ambayo Waarabu waliachiwa watatwale, na kama walikuwa sio watawala wangezijenga vipi hizo shule?!Ukweli wenyewe huyu jamaa ndiye aliye introduce ubaguzi wa Kidini, Kikabila na Kiukanda Tanzania.Kabla yake haijulikani katika historia ya Tanzania kuwa na ubaguzi.
Aliyowafanyia Waislamu kila mtu anayajua, hakuacha hapo akaendelea na Wachaga, mwisho akawarudia watu wa Pwani na kudiriki kusema kuwa hakuna watu wanaoitwa Waswahili, aka invent neno Tanzania BARA ili kuwafuta Wapwani katika historia ya TZ! hii ni kwa gharama ya neno Tanganyika eti kwa sababu tu alikuwa hajui maana ya neno Tanganyika!
Kibaya zaidi jamaa alikuwa si Mtanzania na vitendo vyake pia si vya Kitanzania. Maoni yangu binafsi:
Haka kajamaa kafutwe katika Historia ya Tanzania.

Nyerere angekuwa mkabila basi ungeona Wazanaki wamejazana kila kona serikalini. Hata watoto wake mwenyewe tu aliwaacha wakajitafutie kama kuku wa kienyeji.

Mwarabu alikuwapo Unguja na Pemba, zimeendelea?

Kama una akili utagundua kuwa, sehemu zote alizopita mwarabu kuna madrassa na misikiti tu tofauti na sehemu zilizokuwa na mission ambapo utakuta chuo cha ufundi, shule na kituo cha afya.

Hata huu uvivu mlionao umerithiwa kwa mwarabu. Angalia nyumba zao kule Bagamoyo, vibaraza pande mbili ili kunyoosha miguu jioni, wanawake kwa wanaume
 
Back
Top Bottom