Reli ilijengwa mpaka Masasi(sio Tunduru) kwa jili ya mradi wa kilimo cha Karanga ili kutengeneza Mafuta ya kula Uingereza
Ni kweli reli iliyojengwa ilikuwa kwa ajili ya mradi wa kilimo cha karanga ambacho wakati huo ulikuwa muhim sana kwa ajili ya mafuta ya kula kama ambavyo safari_ ni_ safari alivyosema, lakini ilikuwa ni kutoka Mtwara hadi Nachingwea ambapo nyakati hizo Nachingwea ilikuwa kituo kikubwa cha kilimo na biashara nyingine za wanyama pori