Mara kwa mara tunasikia "ushujaa" wa Nyerere kuwapinga Wazungu kama vile kuwakatalia kuchimba madini kwa madai ya kuwa alikuwa akihifadhi rasilimali za nchi hii kwa vizazi vijavyo na alikuwa akipingana nao sana kutokana na uzalendo wake.
Nimeangalia upande wa pili na kupata kuelewa kuwa Nyerere hakufanya vile kutokana na kulinda rasilimali za Taifa au uzalendao bali ni chuki zake binafsi kwa Wazungu baada ya kumtumia na "kumtosa". Ikumbukwe kuwa Tanganyika ilikuwa ni kati ya nchi zinazoongoza kwa kupokea misaada mingi kutoka nchi za Magharibi mara tu baada ya Uhuru, na Nyerere alikuwa akiipokea hii misaada lakini alichokuwa hakijui ni kuwa Wazungu walikuwa wakimtumia ili kuipata Zanzibar (Muungano), mara baada ya Muungano kufungwa na wazungu kupata walichotaka Nyerere akaachwa peke yake, hawakuwa na haja naye tena.
Hii ilimuuma sana Nyerere na kuhakikisha kuwa Wazungu hawatapata dili yoyote wakati wa utawala wake na hatokubali misaada kutoka kwao ila kama kuna ulazima wa kufanya hivyo.
Mwenye kutaka ku refute anakaribishwa lakini tuondoeni jazba, ushabiki na matusi.
Pia ninamuomba mod atuachie huu uzi kwa sababu kuna controvesial nyingi sana zinazomzunguka Nyerere, hivyo huu huenda ukawa ni wakati muwafaka wakumchambua.
Nawasilisha.
Nimeangalia upande wa pili na kupata kuelewa kuwa Nyerere hakufanya vile kutokana na kulinda rasilimali za Taifa au uzalendao bali ni chuki zake binafsi kwa Wazungu baada ya kumtumia na "kumtosa". Ikumbukwe kuwa Tanganyika ilikuwa ni kati ya nchi zinazoongoza kwa kupokea misaada mingi kutoka nchi za Magharibi mara tu baada ya Uhuru, na Nyerere alikuwa akiipokea hii misaada lakini alichokuwa hakijui ni kuwa Wazungu walikuwa wakimtumia ili kuipata Zanzibar (Muungano), mara baada ya Muungano kufungwa na wazungu kupata walichotaka Nyerere akaachwa peke yake, hawakuwa na haja naye tena.
Hii ilimuuma sana Nyerere na kuhakikisha kuwa Wazungu hawatapata dili yoyote wakati wa utawala wake na hatokubali misaada kutoka kwao ila kama kuna ulazima wa kufanya hivyo.
Mwenye kutaka ku refute anakaribishwa lakini tuondoeni jazba, ushabiki na matusi.
Pia ninamuomba mod atuachie huu uzi kwa sababu kuna controvesial nyingi sana zinazomzunguka Nyerere, hivyo huu huenda ukawa ni wakati muwafaka wakumchambua.
Nawasilisha.