Kwanini nitaipenda CCM katika maisha yangu - natangaza rasmi

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Natangaza wazi na kwa moyo wadhati ya kwamba nitawaunga mkono na kuikubali ccm na wanachama wake wote katika maisha yangu yote baadaya ya kupoteza pumzi yangu hapa duniani....CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeee


Peoples................................. kama kweli waniunga mkono.....utasema Power to All Tanzanians



Haya ni maoni yangu ktka all Generation Rights...and not just Civic and Political ones.
 
Sijakusoma Mpambanaji(aka Mr. 6, aka Mr.sumu),
Eti kuna tetesi sumu siku hizi zinawekwa kwenye AC ukiwasha tu kupata kaubaridi umekwisha ni kweli mpambanaji?
 
Vyama vya siasa havipendwi kutokana na majina yake au kama nguo, vyama vya siasa vinapendwa kutokana na sera zake, uadilifu wa viongozi wake na namna vinavyosimamia utekelezaji wa sera zake na haki kwa raia wake!
 
Sijakusoma Mpambanaji(aka Mr. 6, aka Mr.sumu),
Eti kuna tetesi sumu siku hizi zinawekwa kwenye AC ukiwasha tu kupata kaubaridi umekwisha ni kweli mpambanaji?

Kama sio Mwanasaokolojia hautanisoma kamwe.....otherwise name urself "slow thinker"
 
CCM ni baba wa CDM, siku zote baba yuko makini kusaidia maisha ya watoto
 
Jamani msameheni tu mleta hii post taarifa za kiintelijensia zinasema jana alilala chumba kimoja na LIVINGSTONE LUSINDE pale TIGER MOTER area C dodoma atakua alikunwa kisawasawa.
 
Si vizuri kunya huku unaandika post!matokeo yake unakuja na makimba ya kijani yako jamvini!uvccm bagamoyo kwa kunya!
 
Unaipenda kwa kuwa wewe ni fisadi.Mtu muungwana hawezi kupenda CHAMA CHA MAFISADI,kwa lipi hasa,KUIFUKARISHA Tanzania?
Natangaza wazi na kwa moyo wadhati ya kwamba nitawaunga mkono na kuikubali ccm na wanachama wake wote katika maisha yangu yote baadaya ya kupoteza pumzi yangu hapa duniani....CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeee


Peoples................................. kama kweli waniunga mkono.....utasema Power to All Tanzanians



Haya ni maoni yangu ktka all Generation Rights...and not just Civic and Political ones.
 
Power to all Tanzanians sio kwa wachache, CCM Oyee, ninavyopenda CCM nitakunywa sumu juu yake.
 
Natangaza wazi na kwa moyo wadhati ya kwamba nitawaunga mkono na kuikubali ccm na wanachama wake wote katika maisha yangu yote baadaya ya kupoteza pumzi yangu hapa duniani....CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeee


Peoples................................. kama kweli waniunga mkono.....utasema Power to All Tanzanians



Haya ni maoni yangu ktka all Generation Rights...and not just Civic and Political ones.

Hapo kwenye red Umesema sawa, kama ni baada ya kupoteza pumzi hapo tuko pamoja.
 
Kuna mambo mengi sana ya kujadili ktk nchi yetu, kwanini tunajadili upuuzi kama huu? What is the importance of this post?
 
Natangaza wazi na kwa moyo wadhati ya kwamba nitawaunga mkono na kuikubali ccm na wanachama wake wote katika maisha yangu yote baadaya ya kupoteza pumzi yangu hapa duniani....CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeee


Peoples................................. kama kweli waniunga mkono.....utasema Power to All Tanzanians



Haya ni maoni yangu ktka all Generation Rights...and not just Civic and Political ones.
Mkuu hawajakuelewa. Naomba kufafanua: Wakati wa uhai wako hutokuwa mwanachama wa CCM. utajiunga na CCM baada ya kifo chako. means ukishakufa umekufa.huna uhai tena. Jamaa wengine wavivu wa kufikiri hawamalizi kusoma sentenso na kuzirudia.
 
Back
Top Bottom