MIMI Rais kanishangaza na kuniacha na maswali magumu
1.kutoa hotuba ambayo kaoengelea lami tu kama ndo issue kubwa lenye hadhi ya kuongelea katika kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru???
2.ktunuku wastaafu nishani ya heshima ya mwal. Nyerere ktika viwanja vya ikulu mbele ya wateule wachache? badala ya mbele ya watanzania waliokwenda uwanjani na kupigwa na jua huku wakiambulia gwaride la kila mwaka na hotuba ya dk 15 yenye kusema issue za lami
3.kutokuwepo kwa Marais wa nchi za africa mashariki???????????????????????????
4.Wale marafiki aliokuwa nanatumia kodi zetu kuwatembelea wako wapi mbona hawakuja kumpa company????????????????
hili linatueleza nini?????????????????????????????????????
1.kutoa hotuba ambayo kaoengelea lami tu kama ndo issue kubwa lenye hadhi ya kuongelea katika kuadhimisha miaka hamsini ya uhuru???
2.ktunuku wastaafu nishani ya heshima ya mwal. Nyerere ktika viwanja vya ikulu mbele ya wateule wachache? badala ya mbele ya watanzania waliokwenda uwanjani na kupigwa na jua huku wakiambulia gwaride la kila mwaka na hotuba ya dk 15 yenye kusema issue za lami
3.kutokuwepo kwa Marais wa nchi za africa mashariki???????????????????????????
4.Wale marafiki aliokuwa nanatumia kodi zetu kuwatembelea wako wapi mbona hawakuja kumpa company????????????????
hili linatueleza nini?????????????????????????????????????