TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,417
Habari wana JF
Salute....
Nimekuja na huu Uzi baada ya kuishi kwa muda mrefu nikiwa nashangazwa na mengi, vitu vingi zinavyotokea katika maisha yangu vinaniachia alama ya mshangao? Mind yangu huwa inanipa uhalisia wa jambo kwamba halija tokea katika uhalisia nawez kufanya jambo lakn nikapata hisia fulan kwamba hili jambo mwisho wake sio mzuli aiseee nature inanishangaza kwa kutokea kweli Dah hadi some time najishangaa mm mwenyewe.
Mfano mzuri nimekua nikipitia katika kipindi kigumu lakn ndani ya kipindi kigumu ndo kimetoa mwanga na ufahamu mpana sana na muongozo mzima wa maisha yangu maumivu yake hope yanifanya nikae kwenye position nzuri sana for life nimeinote hii na nitaondoka nayo kupitia changamoto zilizotokea zimenipa mwanga mzima wa maisha ujasili hili tatizo lilikua likiniumiza sana kipindi naingia kwenye mahusiano na huyu bint nilikua Mnene san hali hii ilininyima fursa nyingi san katika maisha yangu.
Hapo mwanzo mabint wengi niliwafata wakanikataa kwasababu ya Unene wangu Jamani nasema ukweli olmots 89% ya wanawake hawapendi Mwanaume Mnene Mind zao zimejaa Negative sana......hapa naomba nisiendelee sana
Tuendelee.... hata hapo mwanzo naanza kuingianae katika mahusiano nilikua na muonekano mbaya lakn huyu bint akanikubalia hope alifata mtonyo asepe 89% mind yangu inathibitishia hilo huwa nafasi tetezi inapokuja na utetezi wake hutokea ubishano mkubwa sana akili mwangu na jibu linabakia palepale kwamba huyu Bint alifanya pesa am be honest huyu manzi nilikua nikimpenda sana.
Nikasema Mimi Mnene hii ndio nafasi yangu pekee ya kuondokana na hii hali basi nikaendekea kumganda huyu manzi kiukweli alionesha kila dalili kuwa hanitaki lakn mm nilikua nikiendelea kumganda na kumuekea hisia za kweli ili aniumize nipunguze mwili hahahah Now naaandika hivi kilinikipita wale waliokuwa wakinikata kisa Mnene wote shobo
Tuendeleee...
Huyu mnzi baada ya kuniumiza na mm kukubali Yale maumivu ili nipunguze mwili sasa hv ndo ananisumbua yani anaonesha dalili zote za kunipenda anashangaa kwanini nakonda haaa mwanaume mwembamba ndo anaempenda basi sasa hivi ananiganda yeye....
NILICHO JIFUNZA....
1.Nikweli ukiwaza jambo katika mind yangu na kuliwish litokee katika uhalisia linatokea kweli. Hii nimekua niikiisoma sana hapa hapa JF Nyuzi nyingi zimeinzishwa kule Jamii Intelligence. Created LIFECODED MSHANA JR APOLLO nk....niwezi kuwamention wote laik salutes sana
Hasa ninaposoma nondo za Codes of life hahahh tuinuke jamani haya mambo nikweli kabisa binafsi yamenifanya niwe huru sana hii elimu kubwa sana na inatolewa kimafumbo fumbo ukiwa na kichwa cha panzi uwezi kuelewa lakn ni elimu yenye uhalisia wa maisha yetu katika uhalisia wake.
2.Bangi inaOpen JICHO LA TATU hii nikweli kabisa hapa kuna siri nzito sana. Wachache wanaijua lakn kwa tamaa zako wakitangazia Dunia hili jani lipigwe vita HAPA KUNA SIRI KUBWA.
3. Sina Dini nashi maisha yangu kwa kufata sharia na kanuni za asili.
Codes zinanizuia kufanya jambo lolote mbaya.
........................TEAM B-13............................
Sent using Samsung Galaxy Note7
Salute....
Nimekuja na huu Uzi baada ya kuishi kwa muda mrefu nikiwa nashangazwa na mengi, vitu vingi zinavyotokea katika maisha yangu vinaniachia alama ya mshangao? Mind yangu huwa inanipa uhalisia wa jambo kwamba halija tokea katika uhalisia nawez kufanya jambo lakn nikapata hisia fulan kwamba hili jambo mwisho wake sio mzuli aiseee nature inanishangaza kwa kutokea kweli Dah hadi some time najishangaa mm mwenyewe.
Mfano mzuri nimekua nikipitia katika kipindi kigumu lakn ndani ya kipindi kigumu ndo kimetoa mwanga na ufahamu mpana sana na muongozo mzima wa maisha yangu maumivu yake hope yanifanya nikae kwenye position nzuri sana for life nimeinote hii na nitaondoka nayo kupitia changamoto zilizotokea zimenipa mwanga mzima wa maisha ujasili hili tatizo lilikua likiniumiza sana kipindi naingia kwenye mahusiano na huyu bint nilikua Mnene san hali hii ilininyima fursa nyingi san katika maisha yangu.
Hapo mwanzo mabint wengi niliwafata wakanikataa kwasababu ya Unene wangu Jamani nasema ukweli olmots 89% ya wanawake hawapendi Mwanaume Mnene Mind zao zimejaa Negative sana......hapa naomba nisiendelee sana
Tuendelee.... hata hapo mwanzo naanza kuingianae katika mahusiano nilikua na muonekano mbaya lakn huyu bint akanikubalia hope alifata mtonyo asepe 89% mind yangu inathibitishia hilo huwa nafasi tetezi inapokuja na utetezi wake hutokea ubishano mkubwa sana akili mwangu na jibu linabakia palepale kwamba huyu Bint alifanya pesa am be honest huyu manzi nilikua nikimpenda sana.
Nikasema Mimi Mnene hii ndio nafasi yangu pekee ya kuondokana na hii hali basi nikaendekea kumganda huyu manzi kiukweli alionesha kila dalili kuwa hanitaki lakn mm nilikua nikiendelea kumganda na kumuekea hisia za kweli ili aniumize nipunguze mwili hahahah Now naaandika hivi kilinikipita wale waliokuwa wakinikata kisa Mnene wote shobo
Tuendeleee...
Huyu mnzi baada ya kuniumiza na mm kukubali Yale maumivu ili nipunguze mwili sasa hv ndo ananisumbua yani anaonesha dalili zote za kunipenda anashangaa kwanini nakonda haaa mwanaume mwembamba ndo anaempenda basi sasa hivi ananiganda yeye....
NILICHO JIFUNZA....
1.Nikweli ukiwaza jambo katika mind yangu na kuliwish litokee katika uhalisia linatokea kweli. Hii nimekua niikiisoma sana hapa hapa JF Nyuzi nyingi zimeinzishwa kule Jamii Intelligence. Created LIFECODED MSHANA JR APOLLO nk....niwezi kuwamention wote laik salutes sana
Hasa ninaposoma nondo za Codes of life hahahh tuinuke jamani haya mambo nikweli kabisa binafsi yamenifanya niwe huru sana hii elimu kubwa sana na inatolewa kimafumbo fumbo ukiwa na kichwa cha panzi uwezi kuelewa lakn ni elimu yenye uhalisia wa maisha yetu katika uhalisia wake.
2.Bangi inaOpen JICHO LA TATU hii nikweli kabisa hapa kuna siri nzito sana. Wachache wanaijua lakn kwa tamaa zako wakitangazia Dunia hili jani lipigwe vita HAPA KUNA SIRI KUBWA.
3. Sina Dini nashi maisha yangu kwa kufata sharia na kanuni za asili.
Codes zinanizuia kufanya jambo lolote mbaya.
........................TEAM B-13............................
Sent using Samsung Galaxy Note7