Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Hawachakachui.
Tumia za Liqui Molly ila Bei Zao zipo juu Sana.Hizo additives zinapatikana wapi Tz niwe najiwekea mwenyewe kwenye mafuta ya gari yangu.
2Fuel additive ni nini?
Experience yake imebase kwenye longevity of time he stays before he goes to pump gas after the last top up, and kaweka route zake kama pie constant...Tuambie mfano ukiweka Total unatembea km/L, ukilinganisha na ukiweka hivyo vituo vingine kwenye gari hilo hilo
KWa mafuta ya 10,000-100,000 huwezi kuona tofauti yoyote. Ni kama GBP wanauza mafuta 2,400 wakati Total wanauza 2,427 ukiweka Lita 100 kutakuwa na tofauti ya Tz 2,700 yaani Lita moja ambayo kwenye Lita 100 sio kitu cha kuleta tofauti kubwa.Mmmh ngoja ntatest Total
Noo bro umetukana sana tumia swaili full set sio nusunusuExperience yake imebase kwenye longevity of time he stays before he goes to pump gas after the last top up, and kaweka route zake kama pie constant...
Sio kweli prondoKWa mafuta ya 10,000-100,000 huwezi kuona tofauti yoyote. Ni kama GBP wanauza mafuta 2,400 wakati Total wanauza 2,427 ukiweka Lita 100 kutakuwa na tofauti ya Tz 2,700 yaani Lita moja ambayo kwenye Lita 100 sio kitu cha kuleta tofauti kubwa.
Kwa makampuni yenye fleet kubwa tofauti hii ina maana sana.
Hivyo basi usipoteze mafuta yako kuifuata Total au GBP mbali na Ulipo kwasababu umbali huo ndio kiwango utakachookoa
sijakuelewa mkuu, mbona hakuna tusi ? kiswahili kina maelezo marefu sana mkuu....nilichoka kuandikaNoo bro umetukana sana tumia swaili full set sio nusunusu
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sawa.
Samahani kidgo nmeshndwa kuelewa observation ako umefanya ktk mazngira gan kama umetumia gari 3 tofauti consumption lazma iwe tofauti kulingana na ukubwa wa engine na habit ako how u press acceleration pedal na how distance u cover kwann nakwambia ivoMa engineer habari za j2
Wakuu kuna kitu nime experience nimeona nishare hapa tupeane maarifa. Mimi huwa naweka mafuta/fuel kwenye station tatu (3) tu kutokana na mazingira
1. Total
2. Puma
3. Oryx
Hizo mimi ndo najaza mafuta kutokana na uhitaji na eneo ambalo nipo lazma niende moja ya hzo sheli juu.
Lakini kuna kitu nimegundua nikiweka mafuta Total yanakaa sana kuliko station zingine, nmefanya utafiti kwenye gari 3 Ford Ranger, BMW X1 na toyota Ist. Pia hata watu wengine wanasema mafuta ya total yanakaa saa.
Kwenu nyie hili jambo limekaaje kitaaalamu.
Even shell additive wanauza shida iko kujua level ya octane inayohitajika kama si ivo utajuta siku yeyote cz lazma kuwa na balance ya ujazo wa wese na additiveHizo additives zinapatikana wapi Tz niwe najiwekea mwenyewe kwenye mafuta ya gari yangu.
Nawe haipogo ni kitu gani? Kiswahili ni haipoKwanza . Hizo sio sheli Kama ulivyosema na wala sio Sheri Kama mchangiaji alivyokusahihisha. Hizo ni fuel station za kampuni hizo ulizozitaja na wala si za kampuni ya shell maana kampun ya shell haipogo tena.
Kuhusu kukaa Sana Kwa mafuta ni Kama mchangiaji alivyosema na pia kwenye fuel stations kuna janja janja nyingi.
Ni kwa nini inakuwa hivyo mkuuMtoa mada upo sahihi kabisaaa..
Ila kiboko Yao kabisa ni PUMA hawa jamaa ukiweka mafuta kwao yanakaa kishenzi,kuna jamaa Yangu aliniambia kuhusu Hilo na nimethibitisha
Full set ni Kiswahili cha wapi?Noo bro umetukana sana tumia swaili full set sio nusunusu
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Mtoa mada tumejua una bmw ila umenunua lini mana juzi nilikukuta na roho ya paka ukitia mafuta au ndio bm yenyewe
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app