Hat km ni malaya, umemshusha hadh mkuuWanawake siwaelewi. Huyu analia shida kuwa maisha magumu, na anamlalamkia mpenzi wake kuwa ni bahiri , lakini nikitangaza dau anipe penzi anakataa kuwa yeye siyo malaya. Nmetangaza dau la laki tatu. Na afya tuna pima
Shida yangu mbususuWewe shida yako nini sasa?
Mbona kondeboy kanunua range kwa kajala ndo kapewaHat km ni malaya, umemshusha hadh mkuu
Na yeye ako na shida zake, mpe pesa akikulilia shida zake.Shida yangu mbususu
Hicho kichwa cha habari kinatosha ulichoandika hapa chini ni marudio.Wanawake siwaelewi. Huyu analia shida kuwa maisha magumu, na anamlalamkia mpenzi wake kuwa ni bahiri , lakini nikitangaza dau anipe penzi anakataa kuwa yeye siyo malaya. Nmetangaza dau la laki tatu. Na afya tuna pima
Anataka amkomeshe mchizi asiyejua majukumu yake na amkomoe demu kisa anaombaomba sana! Kumbe at the other side anajiumiza pia tena sana tuBro heshimu pesa zako. 300k nyingi sana kwa kibap kimoja