Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Ni imani yangu kuwa wote ni wazima Mungu anaendelea kutupigania.
Naomba msaada wana JF
Nilikuwa nakula maembe kama kawaida pasipokuwa na shida yoyote, lakini nina miaka kama sita sasa hivi sidhubutu kula maembe au kunywa Juice ya maembe kwa sababu kila nikila embe au nikinywa juice ya embe huwa najisikia kichefuchefu na kutapika sana, baada ya kutapika huwa najisikia sawa kabisa. Hata nikisikia harufu ya embe huwa najisikia kichefuchefu.
Naomba msaada wana JF
Nilikuwa nakula maembe kama kawaida pasipokuwa na shida yoyote, lakini nina miaka kama sita sasa hivi sidhubutu kula maembe au kunywa Juice ya maembe kwa sababu kila nikila embe au nikinywa juice ya embe huwa najisikia kichefuchefu na kutapika sana, baada ya kutapika huwa najisikia sawa kabisa. Hata nikisikia harufu ya embe huwa najisikia kichefuchefu.