Wataalamu wa mambo ya usafirishaji wanashauri magari yote hasa yale yanayosafiri umbali mrefu huku yakiwa na abiria yafungwe speed governor, lengo ni kuhakikisha kwamba hata dereva atakapojisahau akakanyaga sana mafuta kuwe kuna kikomo kuepusha madhara yawezayo kusababishwa na ajali itokanayo mwendo kasi.
Nadhani sasa imefika wakati speed governor inahitaji kwa hawa watu tuliowaajiri kwa kura zetu, maana wakiachwa waendeshe tu kama vichwa vyao vinavyowatuma watatuangamiza wote.
Nadhani sasa imefika wakati speed governor inahitaji kwa hawa watu tuliowaajiri kwa kura zetu, maana wakiachwa waendeshe tu kama vichwa vyao vinavyowatuma watatuangamiza wote.