Kwanini ni vigumu sana kupata "A" katika vyuo vyetu? Tunawahujumu wanafunzi wetu?

arifu iweke vizuri tukuelewe.......
Ina maana way of life ya watanzania ndio hasa inayo determine elimu yetu?

Ndiyo arifu....watu wenye akili hawaishi maisha ya dhiki huku supposedly wakiwa wamezungukwa na utajiri bwerere. Kuna vi-nchi huko Ulaya havina hata robo ya utajiri asili tulionao sisi lakini viko juu sana kimaendeleo.

Ngoja nikuulize. Katika miaka 100 iliyopita kuna kitu gani kilichovumbuliwa Tanzania na Afrika kwa ujumla kilicholeta mageuzi makubwa katika maisha ya mwanadamu?

Na kwa nini sheria zetu zinaandikwa katika lugha ya kigeni ilhali tunayo na sisi ya kwetu?
 
Elimu ya bongo matatzo tu,nakumbuka kipindi niko first year udsm,kuna ticha alikuja akatuambia eti mwaka huo tulikua wengi mno so lazima ashike watu idadi ya shato 10,na kweli alifanya hivo.

hahahaaaa. Mkuu. Hata 'Kadege' ana hizi tabia.
 
Elimu ya bongo matatzo tu,nakumbuka kipindi niko first year udsm,kuna ticha alikuja akatuambia eti mwaka huo tulikua wengi mno so lazima ashike watu idadi ya shato 10,na kweli alifanya hivo.

Somo gani na mwaka gani if you won't mind?
 


Sasa naona hizo ni dharau zilizopitwa na wakati za kuitana NGWINI, mimi kudesa ninadesa tena sanaa tu, najua kilichonileta chuo ni nini. Masomo niliyopata ni AY100 na AY105
(ukatafute majina yake but najua utakuwa unayajua), Mimi nasoma B.A.Archaeology na ninaipenda sana ndio maana sikubali kuishindwa, kuna cource na cource ni kweli mfano watu wa injiania japokuwa kuna ambao wanaoipata. Vichwa havifanani.:yell:

Kwenye black...Yaani wewe pia unapata A? Kweli Siku hizi Vyuo Vikuu hamnazo.
 
Look here ma fellow JF viewers.Tatizo kubwa kabisa ni kwamba kwa mfumo wa elimu ya chuo kikuu mwanafunzi anapaswa kuna SEMINAR PRESENTATION,TEST ANGALAU MBILI au ZAIDI ambazo dent anatakiwa accumulate 40% kama Course work halafu UE ataingia kutafuta alama zilizobakia.
Hoja yangu sasa kuna baadhi ya vyuo hakuna seminar wanachokifanya wanazibadilisha seminar into either individual assignment or Group assigment eti kwa sababu walimu ni wachache hawawezi kuzisimamia hizo semina.Nijuavyo mimi seminar ndiyo sehemu mwnfunzi atapata deep understanding ya kile kilichofundishwa kwenye lecture na kuondoa some doubts.
Kwa hiyo kwa utaratibu kama huo ni vigumu sana kuchomoka kwani mwanafunzi huassesiwa kwa upungufu, tofauti na atakaye tathiminiwa ktk vipengele vyote.
 
Mfumo wa University/College kwa hapa bongo ni mbovu sana!! mwalimu wako wa darasani ndiye atakayesahisha mtihani wako wa semester na kukukabidhi GPA...this is very big prob by the way
Sio bongo tu, hata nje utaratibu ni huo.
 
Sio bongo tu, hata nje utaratibu ni huo.

Aagh wapi nchi gani yenye utaratibu mbovu kama huu wa bongo?? huko mbele hawafanyi hivi na wameondoa confusion nyingi tu...mfan mzuri kwa first degree nchi nyingi hazitolewi kwenye University bali zinatolewa kwenye College ambazo ziko linked/affiliated na University na pepa zote zinasahishwa main campus ie University na sio kwenye college...so walimu walimu wa college hawahusiki tena, nyie mnapewa syllabus tu mnafundisha pepa zinatungwa na university na zinasahihishwa na university

Labda unipe mifano ya nchi gani wanafanya kama hapa bongo lecturers wa darasani ndio haohao wanakupa GPA...??
 
Maneno kama haya kutoka kwa walimu yanamsaidia nini mwanafunzi katika kupata 'A' na GPA Nzuri ama 1st class?;
1. I will give Supplimentary All of you and I'll be answerable for that
2. if u come to ask questions, dont ask silly, foolish ones
3. A student is asking me a question, I cant answer it.
4. I have prepared a suppl. Exams for u, therefore dont worry, etc

all these statements and despairing words are likely to disappoint students in yield of better performance!
These are my views!
 
Omba kazi ya ufundishaji, halafu kifike kipindi cha usahihishaji, hapo ndipo utakapojua kuwa ni kwanini A hazipatikani kwa wingi. I bet wewe unaweza usitoe hata B+ kwa aina ya wanafunzi waliopo vyuoni leo.

Not kuomba kazi hiyo itachukua muda sana...........atapatiwa tu booklet asome then yeye ataona picha halisi

Hivi huyu kaongelea tofauti ya upatikanaji wa materials huku na huko alikosomea yeye?

Mbona wengi tu waliosoma huko ulaya wanakuja na A zao hapa lakini material wise ni vuguvugu sana ?

Kwa tuliosoma UD some mtakumbuka kuwa na wanafunzi wa kutoka huko ulaya na america (xchange program) na wengi ni normal temperetures sana tu?

Cha muhimu kwa sasa ni kusimamia hizo A zao na ku proove wewe ni A material sio kuja nazo huku na hatuoni hilo joto la A...... as leo Prof Mchome kasema TCU wanaanza kutafuta jinsi ya ulinganifu wa madaraja ya ughaibuni na huku. B plain ya huku yaweza kuwa ndo A ya huko
 
Mbona kama ameshatoa jibu kwa uzoefu wake mwenyewe? Maana huo mwaka wa nne alifanikiwa kupata kile ambacho mwanzoni aliaminishwa hakiwezekani (A's tisa!). Kwa huu. uzoefu wake, jibu analotupa ni jitihada na pia motivation. Ahadi na masharti ya scholarship yalim motivate kuongeza juhudi ya kusoma na kupuuza maneno ya watu na hatimae anatuambia alifanikiwa sana.
 
sijui kwakweli, labda nwdays hatuna akili,
lakini kule bcom kule kuna walimu wanajua kukomoa sijaona?? anatunga mtihani mgumu majibu yake mwenyewe hana hadi aende kudownload kitabu tena unalipia uko uko online!
ss maisha gan hayo, wengi wao pia wanakomoa watu wawaogope kwa idadi ya sup!

najua unamsema Ranger, jamb mkuda sana yule...mpaka leo huwa siamini kama nilishindwa kupata A ya Inventory Management.
 
Dr. Karamagi wa economics dept alitoa A 10 nikiwa 2nd year na alisifu kwamba ni nyingi sana, ukiangalia hakuna la maana analofundisha zaidi ya kutisha watu mwanzo mpaka mwisho wa semister, watu watafaulu vipi?
 
Kaka mambo mengi yanayotukosesha Kupata 'A' ni pamoja na haya;

1. Mlo mmoja kwa siku, ama wanafunzi kushindia Mikate ukifika pale chuo utasikia (HARDWARE) inamaana Mikate Kariakoo!
2. Hakuna mahala pa kusomea hasa masomo ya majadiliano ambapo ni ushirikiano wa mambo mengi ya kimasomo!
3. Mwenye Laptop anaonekana kama ana Mungu mtu ama Malaika hivyo ku7bisha wengi kwenda kibubu bubu na hata wakati mwingine kukusanya na kuandikwa jina katika kazi ambayo hukuhusika kuiandaa hivyo mnachokipata unakubaliana nacho.
4. Hakuna vitabu hata ukienda Maktaba unakutana na vitabu vya kilimo ikiwa hakuna kozi ya kilimo UDSM, kuna sheria kali kwa mwanaf. Kuingia maktaba lakini hakuna vitabu jambo ni tofauti na Ughaibuni.

5. Mshikaji analipiwa fedha nyingi kugharimia masomo yake ikiwa wengi wetu hapa bongo kwanza kuna waliopewa mikopo, ila haitoshelezi mahitaji yao, mfano Mhadhiri mmoja aliamua kuwasaidia wanaf. Kuwaagizia vitabu ughaibuni lakini vilipoletwa vitabu hivyo 3/4 havijanunuliwa wanaf. Hawana fedha hilo ni kundi la kwanza,
kundi la pili hawana Kabisa mikopo na muda wao mwingi wanahangaika kwenda kuchangisha mikopo kwa ndugu na jamaa kuweza kukidhi mahitaji yao ama muda mwingi kuwaza juu ya kupata fedha, hivyo hupelekea wanaf. Kutofikiria kupata 'A'
5. Mahusiano mabaya yaliyopo kati ya wanafunzi japo sio wote na Walimu wao. Yanapelekea kushindwa kupata 'A's hata wao hawapendi wanaf. Wapate 'A' kwa7bu ya fikira zao potofu dhidi ya maisha ya mwanafunzi ya baadaye!

Haya ndo niliyoyaona!
 
Not kuomba kazi hiyo itachukua muda sana...........atapatiwa tu booklet asome then yeye ataona picha halisi

Hivi huyu kaongelea tofauti ya upatikanaji wa materials huku na huko alikosomea yeye?

Mbona wengi tu waliosoma huko ulaya wanakuja na A zao hapa lakini material wise ni vuguvugu sana ?

Kwa tuliosoma UD some mtakumbuka kuwa na wanafunzi wa kutoka huko ulaya na america (xchange program) na wengi ni normal temperetures sana tu?

Cha muhimu kwa sasa ni kusimamia hizo A zao na ku proove wewe ni A material sio kuja nazo huku na hatuoni hilo joto la A...... as leo Prof Mchome kasema TCU wanaanza kutafuta jinsi ya ulinganifu wa madaraja ya ughaibuni na huku. B plain ya huku yaweza kuwa ndo A ya huko

Huku mzumbe kuna wazungu walikuja "exchange program" walikuwa na mpango wa kumalizia 1st degree then wasome master ya sheria.Siku za mwanzoni sana walishindwa mziki wa MU.
 
Kwenye black...Yaani wewe pia unapata A? Kweli Siku hizi Vyuo Vikuu hamnazo.

ni errors ambazo hata comp ilinikumbusha kuwa nimekosea but sikujali hilo...ni maamuzi. Na we nawe unachanganya mambo, nani amekuambia A za Archaeology zinahusika na hayo mambo? Sikuelewi unapohusisha A na hapo.

Kama we ni msomi usingehukumu elimu ya mtu kwa vitu kama hivyo, siku hizi tunaangalia ujuzi mkuu sio maandishi.
 
Look here ma fellow JF viewers.Tatizo kubwa kabisa ni kwamba kwa mfumo wa elimu ya chuo kikuu mwanafunzi anapaswa kuna SEMINAR PRESENTATION,TEST ANGALAU MBILI au ZAIDI ambazo dent anatakiwa accumulate 40% kama Course work halafu UE ataingia kutafuta alama zilizobakia.
Hoja yangu sasa kuna baadhi ya vyuo hakuna seminar wanachokifanya wanazibadilisha seminar into either individual assignment or Group assigment eti kwa sababu walimu ni wachache hawawezi kuzisimamia hizo semina.Nijuavyo mimi seminar ndiyo sehemu mwnfunzi atapata deep understanding ya kile kilichofundishwa kwenye lecture na kuondoa some doubts.
Kwa hiyo kwa utaratibu kama huo ni vigumu sana kuchomoka kwani mwanafunzi huassesiwa kwa upungufu, tofauti na atakaye tathiminiwa ktk vipengele vyote.

naunga mkono hoja yako ndugu.
 
Back
Top Bottom