mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 997
- 1,078
Aya mkuuuItabidi niangalie huko youtube
Aya mkuuuItabidi niangalie huko youtube
2017 ndio tuliondoka jamaa alikuwa anachukua history and PS, alikuwa na Simu+laptop na anatype vizuri tu!!Mwaka gani mkuu naona unaifahamuud. Hata computer inafanya kz vizuri kabisa
Mkuu hahaha ndio mm ulisoma kozi gn pale2017 ndio tuliondoka jamaa alikuwa anachukua history and PS, alikuwa na Simu+laptop na anatype vizuri tu!!
Wewe ni kijana wa Mwalimu Shayo!! Au Nsimbila au kisanga!??
Education toka CoNASMkuu hahaha ndio mm ulisoma kozi gn pale
Kama kichaa anapata Mimba, iweje mlemavu abaguliwe?Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada
Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe msichana lazima kuna kuwa na ugumu fulani yaani unaweza kuta mtu anamtokea mwanamke fulani awe mwanaume anamtongoza mwanamke fulani lakini akijua tu ni mlemavu lazima aache kitu kinachopelekea kupungua kwa confidence kwa watu wenye ulemavu
Katika maisha NGONO ni kitu muhimu sana kwa binadamu ili aweze kufanya kazi vizuri na kujituma NGONO ina mchango mkubwa sana kiuchumi na kijamii japo hili watu huwa hawaliongei sana
Kuna athari kubwa sana kiafya na kisaikolojia kuishi muda mrefu bila kufanya NGONO sasa basi naomba michango yenu
Kwanini imekuwa ni ngumu kwa watu wenye ulemavu kuwa na mahusiano ya kimapenzi?
Nini hasa kifanyike ili kusababisha kundi hili lionekane ni la kawaida katika jamii?
Sio kilema sema mtu mwenye ulemavuKama tu wanawake wanabagua watu wafupi sembuse mtu kuwa kilema? Vijana wanapenda show off
Kama wewe huoni (huna uwezo wa kuona kwa macho), unasomaje post na unaandikaje hapa JF? Naomba kujifunza ndugu.Mimi ni mtu nisiyeona. Asante.
Duh !! Hii ni kwel kabisa mm napenda watu wanaosema ukwel km nyinyKama tu wanawake wanabagua watu wafupi sembuse mtu kuwa kilema? Vijana wanapenda show off
Kisheria hairuhusiw kufunga ndoa na mtu mwenye ulemavu wa akiliKama kichaa anapata Mimba, iweje mlemavu abaguliwe?
ilikuaje ukaachana naoMbona mi nimeshagegeda albino wawili
ilikuaje ukaachana nae?Hall 1 pale udsm nimewahi kungonoka na albino wangu Husna, kwa kweli nilikuwa namuonea huruma na pia alikuwa ananiogopesha jinsi macho yake yanavyogeuza geuza.
Siku ya kwanza nilijua anakata Roho.
haitakuwa na ugumu kama wakitongozana wao kwa waoHabarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada
Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe msichana lazima kuna kuwa na ugumu fulani yaani unaweza kuta mtu anamtokea mwanamke fulani awe mwanaume anamtongoza mwanamke fulani lakini akijua tu ni mlemavu lazima aache kitu kinachopelekea kupungua kwa confidence kwa watu wenye ulemavu
Katika maisha NGONO ni kitu muhimu sana kwa binadamu ili aweze kufanya kazi vizuri na kujituma NGONO ina mchango mkubwa sana kiuchumi na kijamii japo hili watu huwa hawaliongei sana
Kuna athari kubwa sana kiafya na kisaikolojia kuishi muda mrefu bila kufanya NGONO sasa basi naomba michango yenu
Kwanini imekuwa ni ngumu kwa watu wenye ulemavu kuwa na mahusiano ya kimapenzi?
Nini hasa kifanyike ili kusababisha kundi hili lionekane ni la kawaida katika jamii?
Mbona kuna mlemavu alisaidia kutunga quranKatika Uislam kama mwanamume yurijali na anakili timamu sharia ya dini inaruhusu kuoa.
Hivyo basi kama mtu ni saa mbovu "ulemavu wa akili" au uhanithi "kutodindisha" sharia haimruhusu.
kuna mmoja alikuwa albino alimuoa mlemavu wa kutembea walihojiwa star tvhaitakuwa na ugumu kama wakitongozana wao kwa wao
Dah....Kisheria hairuhusiw kufunga ndoa na mtu mwenye ulemavu wa akili
Hzo mimba huwa wanabakwa na wahun huko mtaan mm nimeshuhudia ilo kwa macho yangu mbagala kuna dada mmoja alikuwa kichaa watu wanamvizia ucku wanambaka
Unashangaa tembea uone dumua ilivyojichokeaDah....