Kakaririshwa ajui dunia tunaishi kwa kutegemeanaMataga mnaishi nchi ya kusadikika kama si kufikirika. Tanzania hii iandamwe na mataifa makubwa halafu bado ibaki? Kuna kitu gani nchi hii inaweza kufanya peke yake? Hilo bundle ulipojiunga unajua infrastructure inayowezesha wewe kufanya hivyo unajua inamilikiwa na nani? Unajua kuwa huwezi kufanya transaction hata moja wakiamua?
Eti Magufuli anaandamwa na mataifa makubwa! You guys need your heads examined by qualified medical staff.