Kwanini ni ngumu kuishinda CCM ya Kanali Kinana?

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Sep 6, 2020
665
430
Mchoraji mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Afande Abdulaman Kinana! Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu! Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani, wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana! Silaha yake ni moja tu, nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism! Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani, iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa! Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi, Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection" ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu, Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije mkasema sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania, Ofisa wa zamani, Idara ya Habari-Maelezo, Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.
 
KWANINI NI NGUMU KUISHINDA CCM YA KANALI KINANA?

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
September 7,2022.

Mchoraji Mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Afande Abdulaman Kinana!Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu!Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani,wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana!Silaha yake ni moja tu,nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism!Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani,iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa!Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi,Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection"ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na Mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu,Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije Mkasema Sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania,Ofisa wa zamani,Idara ya Habari-Maelezo,Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na Mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.

+255746726484.
 
..aliyekwambia Kinana ni afisa halisi wa jeshi ni nani?

..umewahi kusikia ameshirika combat mission yoyote?

..Kinana, Makamba, ... walikuwa makamisaa wa siasa jeshini.

..majukumu yao jeshini hayakuwa kuongoza askari wakati wa mapambano ktk uwanja wa vita.
 
Mkuu habari za siku nyingi , sidhani kama unanikumbuka lakini tuliwahi kuonana pale Kyela kati kwenye soko la samaki na tulizungumza mawili matatu , ni hivi Kinana hana uwezo wowote wa kubadili matokeo ya uchaguzi huru na haki , huyu ndiye aliyekuwa msimamizi wa ile ofisi ya Masaki ya kubadili matokeo ya 2015 , iliyoongozwa na Nape na January .

Kama angekuwa kama unavyomsanifu hapa bila shaka asingeshiriki jambo lile lililokuja kumdhalilisha na hatimaye kudukuliwa na Jiwe lake mwenyewe, ushahidi wa ofisi ile, nyuzi, picha na video, umejaa tele hapa JF, ukitaka msaada tutakuonyesha.
 
KWANINI NI NGUMU KUISHINDA CCM YA KANALI KINANA?

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
September 7,2022.

Mchoraji Mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Afande Abdulaman Kinana!Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu!Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani,wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana!Silaha yake ni moja tu,nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism!Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani,iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa!Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi,Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection"ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na Mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu,Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije Mkasema Sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania,Ofisa wa zamani,Idara ya Habari-Maelezo,Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na Mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.

+255746726484.
Amekulipa ngapi uje hapa kutisha amani ya uchaguzi??
 
Mwandishi ...
Siasa za kishabiki. Unajua kabisa mazingira ya uchaguzi yako vile vile(yanatia mashaka), na shughuli za kisiasa hususan kwa vyama vya upinzani zimesimama/hazipo.

Ushindi CCM ni LAZIMA, hakuna free and fair election.

Atashinda, kama na wewe upo huko unaweza kushinda.
 
Mchoraji mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Afande Abdulaman Kinana! Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu! Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani, wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana! Silaha yake ni moja tu, nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism! Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani, iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa! Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi, Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection" ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu, Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije mkasema sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania, Ofisa wa zamani, Idara ya Habari-Maelezo, Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.
Bangi mbaya ukiichanganya na Mo Energy bila kula dona na mandondo, ona sasa!
 
Mchoraji mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Afande Abdulaman Kinana! Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu! Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani, wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana! Silaha yake ni moja tu, nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism! Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani, iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa! Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi, Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection" ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu, Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije mkasema sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania, Ofisa wa zamani, Idara ya Habari-Maelezo, Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.
Maicky ayubu ndio wewe. Naona umejisahau ume log in ID zako zote.😅😅😅
 
KWANINI NI NGUMU KUISHINDA CCM YA KANALI KINANA?

George Michael Uledi.
Kyela,Mbeya.
September 7,2022.

Mchoraji Mkuu wa siasa za ushindi wa CCM kwa sasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 sio mwingine bali ni Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Afande Abdulaman Kinana!Sijui ni watanzania wangapi wanajua hii kitu!Habari ndio hiyo!

Ni ngumu sana kuipokonya ushindi CCM ya sasa uwe wa Madiwani,wabunge au nafasi ya Urais hasa CCM inapokuwa mikononi mwa Kanali wa Jeshi Mstaafu Mzee Abdulaman Kinana!Silaha yake ni moja tu,nayo ni kuila na kuishiba kitu inaitwa military strategism!Hamuwezi kutoboa bila kuyajua mambo haya wanangu wa CDM!

Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.."

Ziara za sasa za kanda za CCM kupitia Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa,Mzee wetu Kanali Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania,Mzee Kinana, pembeni na kijana wake Shaka Hamdu Shaka ni "tactical deployment" ya hatari ya CCM ambayo you will never beat if ur not Gulu in military strategism.

Ofisa yoyote wa Jeshi duniani ujengwa katika mambo mengi ya msingi ya uongozi kwa ajili kumshinda adui, iwe katika uwanja wa medani,iwe katika uwanja wa amani au pia iwe katika uwanja wa siasa!Ofisa wa Jeshi ufundishwa jinsi ya kushinda vita na si vinginevyo!

Somo la kuhusu nini afanyacho Mzee wangu Kanali Mstaafu wa Jeshi,Mzee Kinana ni somo gumu kulielewa kwa kalamu pekee yake kuhusu hiki nisemacho, kwani somo hili uenda pamoja na kuvuja jasho na damu ndio maana nataka nifupishe kwa kusema hivi!

Kanali Mstaafu Mzee Kinana anatekeleza Somo linaitwa "Duty Inspection"ambalo Kamanda ulifanya katika maeneo/field mbalimbali kupima utimamu wa vikosi vyake kabla ya kuviingiza katika uwanja wa medani!

Ukaguzi wa miradi "Inspection" ya maendeleo Nchi nzima unaofanywa na CCM karibia kila Mkoa chini ya Kanali Mstaafu Mzee Kinana, Cde Daniel Chongolo na Mjamaa Shaka Hamdu Shaka ni maandalizi ya ushindi wa kimbunga wa Mh. Mama Samia Suluhu Hassan mwaka 2025.

Afande Kanali Mstaafu Abdulaman Kinana tayari ameshachora na ameshabeba kitu kinaitwa "SAND MODEL" kichwani kwake ya kumpeleka Mama yetu,Mh. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Mwaka 2025.

Msije Mkasema Sikusema!

Mwandishi kijana wa kitanzania,Ofisa wa zamani,Idara ya Habari-Maelezo,Ofisa Mwanafunzi wa zamani,Chuo cha Maofisa wa Jeshi Monduli Arusha, Mhadhiri Msaidizi wa zamani, Vyuo Vikuu vya Saut na Tumaini na Mtia nia Ubunge Jimbo la Kyela 2020.

+255746726484.
Ningeshangaa kma usingeweka namba
 
Duh. Kweli fursa zinatafutwa kwa udi na uvumba. Bahati nzuri umeonyesha umeanza siasa 2020.

Lakini tukueleze huyo Kinana sio mara ya kwanza kuzunguka tanzania. Kuelekea 2015 aliendesha hadi matrekta na kufanya fundi uashi. Lakini chama kiliwafia mikononi ye na JK.

Ni katika kipindi kama hiki akiwa katibu mkuu ndipo;
1. Chama kilikataliwa hadi na wanachama wake. Hii amsha amsha ya sasa ni unafiki tu. Ngoja uchaguzi ukaribie.

2. Ilikuwa ni bora utembee uchi utaonekana chizi kuliko kuvaa nguo za ccm maana ni kama unataka kuleta tukio la kigaidi.

3. Akiwa Kinana hivyo hivyo ndipo ilikuwa ngumu kupata ubunge au nafasi ndani ya chama bila rushwa ya pesa au ngono ama kujuana. Ni kama sasa.

4. Ndicho kipindi ambacho walikuwa hawaachi glass ya maji mezani.

5. Ni kipindi ambacho miradi yote ya chama ilihodhiwa na watu binafsi kabla ya kurudishwa na kina dr bashiru.
 
Mkuu habari za siku nyingi , sidhani kama unanikumbuka lakini tuliwahi kuonana pale Kyela kati kwenye soko la samaki na tulizungumza mawili matatu , ni hivi Kinana hana uwezo wowote wa kubadili matokeo ya uchaguzi huru na haki , huyu ndiye aliyekuwa msimamizi wa ile ofisi ya Masaki ya kubadili matokeo ya 2015 , iliyoongozwa na Nape na January .

Kama angekuwa kama unavyomsanifu hapa bila shaka asingeshiriki jambo lile lililokuja kumdhalilisha na hatimaye kudukuliwa na Jiwe lake mwenyewe, ushahidi wa ofisi ile, nyuzi, picha na video, umejaa tele hapa JF, ukitaka msaada tutakuonyesha.
Swadakta
 
Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu! Rumi haikuanguka siku moja lakini hatimaye ilianguka!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom