Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,247
Hahahaha siku ukiniacha , Nitavuta mwengine 100% ..kichwa changu hakijawahi nifikirisha kufanya jambo lakijinga linaloniathiri wakati Nina Faida.
Et MTU anaamua kua chapombe kisa K...anakua mvutaji wa sigara na Dawa za kulevya kisa K hahahaha hahahah .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kusema ukweli. Huwa nashangaa sana Mwanaume anayejiua au aliyeamua kuyachukia maisha yake sababu tu ametendwa na Mwanamke aliyekua anampenda kwa dhati.mdogo wangu we hujawaona? Kutwa kututambia hapa kuwa hawababaishwi na mtu toa mbunye weka mbunye...mara ooh men are polygamous in nature, sasa hivi wanasema eti sisi mara zote huwa tunakuwa na plan B, mbona wao huwa wanasema siku zote wanakuwa na plan B, C, D mpaka H sijui huko...mtu akikuacha si unareplace tu cha kuuacha ugali mtamu hivi nini??
Hebu nyie wanaume mliotoka Mars mnakuja kutuletea mambo yenu huku tupisheni kidogo kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Et MTU anaamua kua chapombe kisa K...anakua mvutaji wa sigara na Dawa za kulevya kisa K hahahaha hahahah .
Sent using Jamii Forums mobile app