Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 23,910
- 70,847
Hahahahaha embu fikiria nakupenda kwa dhati, nategemea unanipenda pia, alafu mwisho unifanyie unyama ? Ninani wakua ktk sehem ya faida ?.daah sema hakyamungu, hata kutishia tu kujiua hutofanya? Vibaya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan nilie , nijiue, nijidhuru, niangukie kwenye ulevi na tabia za ovyo..kisa mwanamke Ninayempenda kaniumiza ?? Hahahhaha.
Nitakua wa wa mwisho kabisa kukubali huu ujinga,..Mimi nitaumia sana ikiwa nimimi chanzo , nitaumia na nitakuomba msamaha.
Wengine wakiombwa msamahaa yaan Wa nataka uombe sanaaaa, wengine hubadili msamaha kua sehem sasa kumuumiza mwenzake nakumkomoa na kumjutisha ...kwakweli hapa napo nitaangalia, Uzito wa kosa je unanihitaji nivumilie mpaka unisamehe ? Je nivumilie uku Nikiendelea kushuhudia maumivu na kunikomoa? .. Kama niivo usishangae nikakuambia KWA HERIIIIIIII UFIKE SALAMAAAAA KWA BABA NAMAMA , TUTAONANA KESHOOOO KWAHERI MWALIMU !!.
in fact Nina moyo wa chuma, na moja ya Sera ya maisha yangu ni kutoruhusu MTU wapili anipe maisha ya ajabu.
Ukinipenda Mara moja, Nita kupenda Mara mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app