MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,486
- 8,702
Inaaminika huenda Baba mzazi akawa ndio Mwanaune pekeee atakaye mpatia binti wake upendo wa dhati kabisa na wa kutoka moyoni, na huenda Binti hatakuja kuupata upendo wa aina hiyo kutoka kwa mwanaune yoyote yule tena.
Hii ni kwa sababu mara nyingi kwenye maisha yake ataishia kuumizwa sana na Mwanaume, ataishia kunyanyasika na hata kama atapendwa basi ni ule upendo wa juu juu tu.
Hivyo Wababa jitahidini mno kuhakikisha kwamba kipindi binti yuko mikononi mwako nasi anapata upendo mkubwa mno, ili huo upendo uje ku compensate manyanyaso yanawo weza kuja kumpata mbeleni.
Hii ni kwa sababu mara nyingi kwenye maisha yake ataishia kuumizwa sana na Mwanaume, ataishia kunyanyasika na hata kama atapendwa basi ni ule upendo wa juu juu tu.
Hivyo Wababa jitahidini mno kuhakikisha kwamba kipindi binti yuko mikononi mwako nasi anapata upendo mkubwa mno, ili huo upendo uje ku compensate manyanyaso yanawo weza kuja kumpata mbeleni.