Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,274
- 9,910
Kitendo cha shirika la BIMA ya Afya NHIF kuondoa dawa zenye bei juu kwenye orodha imenisikitisha sana, tulitegemea sana ule wimbo kuwa NHIF wameboresha huduma basi ingeenda sambamba na kuongeza dawa zinazotolewa.
Haina maana na wala haingii akili kumpatia mtu vipimo halafu suala la dawa linakuwa kizungumkuti, laziama tufike mahali tusema si lazima NHIF ijiendeshe kibiashara lengo ni kutoa nafuu kwa nanchi kupata matibabu hasa wale amabo hawawezi kumudu gharama za matibabu.
Mfano kuna dawa nyingi za wagonjwa wa Cancer zimeondolewa kwenye orodha tunajua dawa hizi ni ghali sana si wengi wanamudu kuzinunua, ukienda pale ocean road utakuta watu wengi wapo pale wanalalmika sana baati mbaya hawana mtu wa kuwasaidia.
Haina maana na wala haingii akili kumpatia mtu vipimo halafu suala la dawa linakuwa kizungumkuti, laziama tufike mahali tusema si lazima NHIF ijiendeshe kibiashara lengo ni kutoa nafuu kwa nanchi kupata matibabu hasa wale amabo hawawezi kumudu gharama za matibabu.
Mfano kuna dawa nyingi za wagonjwa wa Cancer zimeondolewa kwenye orodha tunajua dawa hizi ni ghali sana si wengi wanamudu kuzinunua, ukienda pale ocean road utakuta watu wengi wapo pale wanalalmika sana baati mbaya hawana mtu wa kuwasaidia.