Kwanini ngono na mapenzi zimetutawala sana?

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Nov 2, 2012
1,211
1,185
Habari zenu wanaJamiiForums,

Nimekuwa nikijiuliza kwanini ngono inatawala sana kwenye vichwa vya watu wengi hata stori za mapenzi zinapendwa sana na hua zinaambatana na hisia za kingono. Kuna kitu gani kibaolojia kinazalishwa kwenye miili yetu na kuifanya muda wote watu wapende ngono au mapenzi.

Mapenzi yanatoka wap na kwanini yanavutia sana kwenye fikra zetu kuliko hisia zingine zozote kama kuogelea, kucheza mpira, hisia za kujisomea.

Wataalamu hebu mje na sababu za kibailogia au kitheolojia kususu mapenzi kutawala fikra za wanadamu wengi na kuna wengine wanakuambia hakuna raha duniani kama kufanya mapenzi.

Inakaaje hapo wakuu.

Nawasilisha
 
Inategemeana na mtu au watu,ni jinsi gani hayo mapenzi wanayapa nafasi ipi katika bongo zao.
 
Habari zenu wanajamii forum
Nimekuwa nikijiuliza kwanini ngono inatawala sana kwenye vichwa vya watu wengi hata stori za mapenzi zinapendwa sana na hua zinaambatana na hisia za kingono.Kuna kitu gani kibaolojia kinazalishwa kwenye miili yetu na kuifanya muda wote watu wapende ngono au mapenzi.Mapenzi yanatoka wap na kwanini yanavutia sana kwenye fikra zetu kuliko hisia zingine zozote kama kuogelea,kucheza mpira,hisia za kujisomea........wataalamu hebu mje na sababu za kibailogia au kitheolojia kususu mapenzi kutawala fikra za wanadamu wengi na kuna wengine wanakuambia hakuna raha duniani kama kufanya mapenzi,,,,,
Inakaaje hapo wakuu......Nawasilisha
Wana majini wabaya ambao yanataka kuwaangamiza. ...
 
WAAFRIKA WAPENDA NGONO SANA

TRUMP ALISEMA
AFRICANS ARE POOR because are lazy
too sexy
Selfish
TUACHE MAPENZI
 
WAAFRIKA WAPENDA NGONO SANA

TRUMP ALISEMA
AFRICANS ARE POOR because are lazy
too sexy
Selfish
TUACHE MAPENZI
mmh hata yeye anapenda ngona sema waafrika nguvu nyingi tunaweka kwenye ngono na kwa sababu hatupo wazi umemchoka demu hutaki kumwambia unachepuka unakuwa na idadi kubwa hapo ndiyo shida
 
Habari zenu wanajamii forum
Nimekuwa nikijiuliza kwanini ngono inatawala sana kwenye vichwa vya watu wengi hata stori za mapenzi zinapendwa sana na hua zinaambatana na hisia za kingono.Kuna kitu gani kibaolojia kinazalishwa kwenye miili yetu na kuifanya muda wote watu wapende ngono au mapenzi.Mapenzi yanatoka wap na kwanini yanavutia sana kwenye fikra zetu kuliko hisia zingine zozote kama kuogelea,kucheza mpira,hisia za kujisomea........wataalamu hebu mje na sababu za kibailogia au kitheolojia kususu mapenzi kutawala fikra za wanadamu wengi na kuna wengine wanakuambia hakuna raha duniani kama kufanya mapenzi,,,,,
Inakaaje hapo wakuu......Nawasilisha
ni kwasababu watu wamechoka wanahitaji vitu vya kuwapa starehe,
hakuna starehe nzuri kama NGONO, hasa umpate anayejua kufanya ngono kama starehe na sio biashara utaona kama sio TANZANIA ya MAGUFURI
 
".... Henry Miller
Sex is… perfectly natural. It’s something that’s pleasurable. It’s enjoyable and it enhances a relationship. So why don’t we learn as much as we can about it and become comfortable with ourselves as sexual human beings because we are all sexual..."
Sue Johanson
 
mmh hata yeye anapenda ngona sema waafrika nguvu nyingi tunaweka kwenye ngono na kwa sababu hatupo wazi umemchoka demu hutaki kumwambia unachepuka unakuwa na idadi kubwa hapo ndiyo shida
yeye anapenda kama binadamu wengine ila umemaliza sisi tumezidi NA HATUJUI KUCHANGANYA KAZI NA MAPENZI

UPO KAZINI mapenzi yanakuendesha masaa 24 u think sexing only HATA HUMU LETE MAADA YA MAPENZI UONE

LAKINI VITU SENSITIVE KIMYAA
 
yeye anapenda kama binadamu wengine ila umemaliza sisi tumezidi NA HATUJUI KUCHANGANYA KAZI NA MAPENZI

UPO KAZINI mapenzi yanakuendesha masaa 24 u think sexing only
mi nadhani tunafanya kzai ila mapenzi yanatuongoza sababu ya list na kutokuwa wazi
 
yeye anapenda kama binadamu wengine ila umemaliza sisi tumezidi NA HATUJUI KUCHANGANYA KAZI NA MAPENZI

UPO KAZINI mapenzi yanakuendesha masaa 24 u think sexing only
Je unapenda unacho kifanya au unafanya unachokipenda?
 
mi nadhani tunafanya kzai ila mapenzi yanatuongoza sababu ya list na kutokuwa wazi
KAZI TUNAFANYA BUT AT A LEAST kidogo sana

unajua kwanini ni mfumo wetu wa kuishi
waafrika mpaka kufikisha miaka 20 bila sex ni ajabu lakini wenzetu ni kawaida kuna siku nilimsoma mtu kama Pogba mchezaji wa man u anadai katika ukuaji wangu na kulinda kipaji changu nilikaa mbali na wanawake
je kwetu ipo hivyo
WACHEZAJI KESHO ANA MECHI ANA SEX LEO
 
Je unapenda unacho kifanya au unafanya unachokipenda?
HILI HALIPO MAZINGIRA YETU kufanya unachopenda its a myth kwa huu mfumo na sisi ndio maana kilichobaki ni mapenzi zaidi as ndio tunayapenda na hasa ni relief
 
Kwa sababu mapenzi ni natural kwetu na viumbe vingine. Infact procreation ni primary reason ya existance. Jaribu ku-imagine tungekuwa hatuna hii misingi mingine tulioitengeneza wenyewe kama elimu na kufanya kazi kwa ajili ya payment.

So, in summary, its what we need to do, naturally... But since we are intelligent beings tumetengeneza ustaarabu fulani hapo.

Furthermore, jiulize kwa nini tunabalehe at 11 to 16 af after that mimba inaweza kutungwa. Mifumo inayotuzuia kufanya hivyo haipo natural. Its just our survival strategies
 
Back
Top Bottom