Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Wana JF,
Huwa nashangazwa sana na kauli nyingi za viongozi kukimbilia kuhubiri neno AMANI esp wakati kama huu uliopita wa uchaguzi.
Huwa najiuliza kwanini viongozi walioko kwenye madaraka hukimbilia kuhubiri neno AMANI huku fika wanajua hawatendi HAKI, Kwanini wasi hubiri neno HAKI kwanza then AMANI huja haraka kabisa ukisha itenda HAKI kwa rai wako.
sasa tuchukulie mfano wa mgombea ubunge ( CUF jimbo la Tandahimba Mr. Katani Ahamed Katani) kwa yale yaliyo mkuta Mheshimiwa mbuge huyu aliye nyang'anywa tonge mdomoni na kichapo akakipata toka kwa nguvu za Dola (Police).
Na sasa anakimbilia mahakamani kwani HAKI hapa inge tendeka AMANI ingevurugika na kumfika yaliyo mpata na kujikuta na POP.
Hiyo yote ni kuwa HAKI haikutendeka na AMANI ikapotea. sasa siwaelewi hawa viongozi ni kitu gani kinawasibu kuhubiri neno AMANI badara ya kuhubiri HAKI kwanza?
Karibuni Wana JF kuchangia mada hii mbele yenu
Huwa nashangazwa sana na kauli nyingi za viongozi kukimbilia kuhubiri neno AMANI esp wakati kama huu uliopita wa uchaguzi.
Huwa najiuliza kwanini viongozi walioko kwenye madaraka hukimbilia kuhubiri neno AMANI huku fika wanajua hawatendi HAKI, Kwanini wasi hubiri neno HAKI kwanza then AMANI huja haraka kabisa ukisha itenda HAKI kwa rai wako.
sasa tuchukulie mfano wa mgombea ubunge ( CUF jimbo la Tandahimba Mr. Katani Ahamed Katani) kwa yale yaliyo mkuta Mheshimiwa mbuge huyu aliye nyang'anywa tonge mdomoni na kichapo akakipata toka kwa nguvu za Dola (Police).
Na sasa anakimbilia mahakamani kwani HAKI hapa inge tendeka AMANI ingevurugika na kumfika yaliyo mpata na kujikuta na POP.
Hiyo yote ni kuwa HAKI haikutendeka na AMANI ikapotea. sasa siwaelewi hawa viongozi ni kitu gani kinawasibu kuhubiri neno AMANI badara ya kuhubiri HAKI kwanza?
Karibuni Wana JF kuchangia mada hii mbele yenu