Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Nakumbuka prof Assad alisema bunge lina udhaifu hasa katika kuisimamia serikali kwa sababu alitoa mapendekezo na hayakufanyiwa kazi lakini hakuna sehemu aliposema bunge ni dhaifu zaidi ya udhaifu wa bunge.
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?
Sasa Ndugai anaposema bunge dhaifu kalitoa wapi?