Kwanini ndoa huwa zinaua ndoto zenu za maisha?

Waheshimu baba na mama yako kwanza
Kuna mida ikifika ndoto zako zinakua chini ya mikono yako.
Baba na mama wamekusomesha mpaka diploma ukapata ajira, then kuanzia hapo wao haiwahusu Tena.

Ni wewe na njaa ya mafanikio yako.

Ila mkishaoa ndio MNAZIKA NDOTO ZENU..!!!

#YNWA
 
Mleta mada naona umeiva katika masuala ya mahusiano ebu mods mpeni blue tick kabsa huyu kijana wangu.Hakika elimu yako inakusaidia sana even though uache ulevi hahaha
 
Ndoa haiwezi kuwa kizuizi cha mtu kutofikia malengo yake. Tatizo lipo kwa mtu unaeingia nae kwenye hiyo ndoa.
Mnapo amua kuona ni kwamba mmeamua ku-work as a single entity sasa bas ni vizuri malengo na dhamira zenu ziwe zinafanana ama zinaelekeana lakin mbali na hvyo lazima mmoja wenu malengo/ndoto zake zitakufa
 
Hao jamaa zako ukifikiria vizuri zaidi utagundua ni pesa ndogo walizopata zimezima ndoto zao wala sio ndoa iyo wanaisingizia tu.

Mkuu kujiendeleza kielimu ni ama uwe na nidhamu ya mipango au ulazimishwe na maisha, tofauti na hapo ni ngumu sana.
1. Kama pesa ni ndogo, KWANINI UOE?
Na kwanini zimekua "pesa ndogo baada ya kuoa"? Ina maanisha NDOA HAZIWAFAI?

#YNWA
 
Mleta mada naona umeiva katika masuala ya mahusiano ebu mods mpeni blue tick kabsa huyu kijana wangu.Hakika elimu yako inakusaidia sana even though uache ulevi hahaha
Niliacha ulevi "wakulima wa ngano" watauza wapi ngano yao?

Na wale ma baamedi je? Watapata wapi Kazi nyengine?

Tuendelee kupiga bia.

#YNWA
 
Back
Top Bottom