lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,939
- 517
jamani hivi kwa nini za kivita zinakimbia sana kuliko ndege za abiria?
je ni kweli kuwa ndege za kivita ndio zina uwezo wa kubeba mizigo mizito zaidi kwa sababu mabomu na makombora mazito zaidi na yenye tani kibao kama ma nyuklia, scud.
je ni kweli chopa za kivita ndio zenye nguvu zaidi kuliko machopa mengine yote na ukimbia zaidi. halafu ni kweli kuwa ndege za kawaida hazina kasi kama za kivita?
pia kuna tetesi kwamba ndege ya kivita zina uwezo wa kutembea fasta kutoka bongo mpaka marekani kwa muda mfupi tu. wenye utaalamu na mambo ya vita watujuze hapa
je ni kweli kuwa ndege za kivita ndio zina uwezo wa kubeba mizigo mizito zaidi kwa sababu mabomu na makombora mazito zaidi na yenye tani kibao kama ma nyuklia, scud.
je ni kweli chopa za kivita ndio zenye nguvu zaidi kuliko machopa mengine yote na ukimbia zaidi. halafu ni kweli kuwa ndege za kawaida hazina kasi kama za kivita?
pia kuna tetesi kwamba ndege ya kivita zina uwezo wa kutembea fasta kutoka bongo mpaka marekani kwa muda mfupi tu. wenye utaalamu na mambo ya vita watujuze hapa