Kwanini nchi zilizoendelea nyingi za Ulaya na Marekani Serikali zao zina bajeti ya ujenzi wa nyumba za wananchi wao?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
18,631
20,966
Tujiulize kwa nini wenzetu huko ngambo serekali zao hujenga nyumba nyingi kadri iwezavyo mpaka nyingine hukosa wapangaji, huku zikiwa na kodi ndogo mno ya pango ambayo hupangwa kwa maksudi ili kila mwenye kazi na anayelipwa mshahara wa ngazi yoyote huweza kulipa kulingana na ukubwa wa kanyumba kenyewe.

Wenzetu hawa walipata athari miaka mingi mno iliyopita, serekali zao huamini kuimiliki nyumba hupumbaza utendaji kazi za akili za binadamu kwa parcentage fulani. hupunguza utendaji, kasi ya kufikiri hupungua.

I dont think if it true.
 
Kwa sababu zimeendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ardhi ambayo ndiyo yenye uwezo mkubwa wa kumfanya mtu aishi humilikiwa na mabepari wa wachache wengine wote wanakuwa hawana ardhi ya kulima kama huku kwetu akiwa hana ajira.

kule ukiwa huna ajira na pa kulala utakuwa na chakula utakuwa huna.ULAYA MAPINDUZI YALISHATOKEA MAKUBWA ya kuangusha serikali kutoka kwa hao watu wasio na ajira,ardhi ,chakula na pa kulala

sasa serikali zinaogopa ndio maana asiye na kazi au ardhi wanamlipa mshahara ili apate chakula,malazi na mavazi asije kuleta za kuleta kusumbua mabepari wachache wanaomiliki serikali,ardhi na uchumi wa nchi

serikali kuwajengea nyumba za bei nafuu ni kuwadhibiti ili kale kamshahara kadogo wanakolipwa kwa kukosa ajira waweze kumudu kupanga kwa bei ndogo wasije kuwa walala mitaani barabarani wakasumbua jiji na uchafu nk
 
Back
Top Bottom