Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Wadau swali hapo juu linajitosheleza.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
Wadau swali hapo juu linajitosheleza.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
Ubelgiji nao wanazungumza kifaransa ! Tofauti ni ndogo sana kimatamshi.Wadau swali hapo juu linajitosheleza.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
Belgium yenyewe lilikuwa koloni LA wafaransa, belgium hawana lugha yao officialBelgium kuna official lugha 3 : Dutch, French and German. Sehemu kubwa inazungumza French
Jamaa alichokua hajui ni kwamba sio Nchi zote kubwa zina lugha zao(akimanisha kiBelgiji). Ni kama huku kwetu tu hakuna kiTanzania kuna Kiswahili tunachoshea nchi kadhaa.
Kumbe hakuna lugha inaitwa kibeligiji?Belgium kuna official lugha 3 : Dutch, French and German. Sehemu kubwa inazungumza French
Nashukuru kwa majibu mazuriBelgium imepakana kasikazini na Uhoranzi(Dutch Hollande), kasikazini Mashariki wamepakana Na Germany(Dutch Germany), Upande wote wa Kusini na Kusini Mashariki Belgium imepakana na Ufaransa(France).Kwahiyo Belgium ina lugha mbili kuu za nchi(Kifaransa 70% na Dutch/Flanders kama 30%), ndio maana Makoloni ya Belgium yanaongea Kifaransa na Pia yana Urafiki na Uberigiji na Ufaransa mwenye lugha yake. Nimejaribu.
Umenipata vyemaJamaa alichokua hajui ni kwamba sio Nchi zote kubwa zina lugha zao(akimanisha kiBelgiji). Ni kama huku kwetu tu hakuna kiTanzania kuna Kiswahili tunachoshea nchi kadhaa.
AsanteBelgium yenyewe lilikuwa koloni LA wafaransa, belgium hawana lugha yao official
Belgium yenyewe lilikuwa koloni LA wafaransa, belgium hawana lugha yao official
... hivi ni kwanini taifa kubwa la Marekani huongea Kiingereza badala ya Kimarekani? Au taifa kubwa kama Brazil huongea Kireno badala ya Kibrazil? Au Austria kuongea Kijerumani badala ya Kiaustria? Au Bara la Australia kuongea Kiingereza badala ya Kiaustralia? Au taifa lenye uchumi mkubwa kama Canada kuongea Kiingereza na Kifaransa badala ya Kicanada? Au Misri kuongea Kiarabu badala ya Kimisri? Ijue historia itakusaidia!Wadau swali hapo juu linajitosheleza.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
.Belgium imepakana kasikazini na Uhoranzi(Dutch Hollande), kasikazini Mashariki wamepakana Na Germany(Dutch Germany), Upande wote wa Kusini na Kusini Mashariki Belgium imepakana na Ufaransa(France).Kwahiyo Belgium ina lugha mbili kuu za nchi(Kifaransa 70% na Dutch/Flanders kama 30%), ndio maana Makoloni ya Belgium yanaongea Kifaransa na Pia yana Urafiki na Uberigiji na Ufaransa mwenye lugha yake. Nimejaribu.
Umenivumbua, asante sana... hivi ni kwanini taifa kubwa la Marekani huongea Kiingereza badala ya Kimarekani? Au taifa kubwa kama Brazil huongea Kireno badala ya Kibrazil? Au Austria kuongea Kijerumani badala ya Kiaustria? Au Bara la Australia kuongea Kiingereza badala ya Kiaustralia? Au taifa lenye uchumi mkubwa kama Canada kuongea Kiingereza na Kifaransa badala ya Kicanada? Au Misri kuongea Kiarabu badala ya Kimisri? Ijue historia itakusaidia!
Uko sahihi matamshi kidogo ya kifaransa cha ubergiji na ufaransa yanapishana kidogo ila maandishi ni yalayale .Belgium imepakana kasikazini na Uhoranzi(Dutch Hollande), kasikazini Mashariki wamepakana Na Germany(Dutch Germany), Upande wote wa Kusini na Kusini Mashariki Belgium imepakana na Ufaransa(France).Kwahiyo Belgium ina lugha mbili kuu za nchi(Kifaransa 70% na Dutch/Flanders kama 30%), ndio maana Makoloni ya Belgium yanaongea Kifaransa na Pia yana Urafiki na Uberigiji na Ufaransa mwenye lugha yake. Nimejaribu.
hakuna lugha inaitwa belgian, wabelgiji wanaongea kudachi na kifaransa, nusu wanaongea kidachi nusu kifaransaWadau swali hapo juu linajitosheleza.
Wenye kujua sababu tafadhali mtiririke.
Leo ndiyo nimelijua hilihakuna lugha inaitwa belgian, wabelgiji wanaongea kudachi na kifaransa, nusu wanaongea kidachi nusu kifaransa