Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Zipo sababu nyingi zitolewazo katika somo la historia kuhusu Ethiopia na Ukoloni lakini haziwekwi bayana.
Lakini ukweli ni kwamba wakati ule Ethiopia ni nchi ya kikristo na lengo kuu ni kuziteka nchi za kiislaam na kueneza ukristo.
Askofu Yohana Lucas Wavera na wenzake wa jimbo la Mbeya katika kitabu chao "historia ya kanisa" anafafanua siri hii katika kile alichokiiti "Mission na Ukoloni"
Hali hiyo iligeuka kuwa tofauti baada ya mabadiliko ya kisiasa mwaka 1885 Serikali za Ulaya ziligawanya Africa kati yao.
Kipindi kipya cha Ukoloni kilianza sehemu zote za Africa ziliwekwa chini ya utawala wa kikoloni isipokuwa Ufalme wa kikristo wa Ethiopia uliojitetea dhidi ya waitalia na Liberia iliyokuwa chini ya ulinzi wa Marekani.
Chanzo :historia ya kanisa uk 55 Motheco Publications.