Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
:sad:
IKIWA VIONGOZI WETU (UPINZANI) HAWATAACHA UJUAJI WAO KATIKA WANAYOSHAURIWA, BASI TUTAENDELEA KUSINDIKIZA (daima) :thinking:
Jiulize maswali yafuatayo:
Hawa viongozi wetu wajifunze la sivyo watasindikiza DAIMA, mwisho wa siku HESHIMA yao ITASHUKA. Jambo ambalo sitaki kabisa hata...:A S 114:
Ndio maana nahimiza watu KUFIKIRI kwa uwezo wao wote hapa sio kwenda kwenda tu na kupelekwa pelekwa:thinking:
;
IKIWA VIONGOZI WETU (UPINZANI) HAWATAACHA UJUAJI WAO KATIKA WANAYOSHAURIWA, BASI TUTAENDELEA KUSINDIKIZA (daima) :thinking:
Jiulize maswali yafuatayo:
- kwanini mabango ya makampuni ya simu yabebe picha ya mgombea wa aina moja tu?
- kwanini promosheni za makampuni hayo zianze na kuishia wiki moja au mbili baada ya uchaguzi? (mnashangaa badala kutafiti) hapo pana zaidi ya hilo...
- kwanini yawawekee zawadi zinazotia tamaa ya kupata wakati mnapatwa? je kama ni kurejesha wanarejesha kweli?
- je kama Sabodo aliwapa CHADEMA kwa makelele milioni 100 je aliwapa CCM ngapi kimya-kimya? (haiwi umpe mtoto wa jirani ugali huku wako akilia njaa)
- hapo kuna mambo meeeeeengi ukishajiuliza hutopata majibu, mchakachuo + wao wanajua siku ya mwisho mtapiga kelele wee yataishia hapo wao wanapeta.
Hawa viongozi wetu wajifunze la sivyo watasindikiza DAIMA, mwisho wa siku HESHIMA yao ITASHUKA. Jambo ambalo sitaki kabisa hata...:A S 114:
Ndio maana nahimiza watu KUFIKIRI kwa uwezo wao wote hapa sio kwenda kwenda tu na kupelekwa pelekwa:thinking:
;