GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,860
Nitakuwa wa mwisho kabisa kuamini kwamba eti haya mauaji yote yanayotokea na ukatili wote tunaoushuhudia kwa sasa nchini Tanzania unatekelezwa / unaratibiwa na ' Taasisi ' fulani kutokana na sababu zangu kadhaa ambazo nimezipata baada ya kufanya ' Kautafiti ' kadogo kutoka katika ' Taasisi ' zingine huko duniani.
Kamwe ' Taasisi ' haiwezi kumuondoa / kumuua Mtu kwa mapanga au risasi za hovyo hovyo bali nijuavyo ' Taasisi ' hutumia njia nyepesi tu na ' murua ' kama ikihitaji kumuondoa Mtu ambaye labda wanadhani ni ' tishio ' kwa ustawi wa Taifa husika.
Nimegundua ya kwamba kuna uwezekano mkubwa sana haya mauaji, ukatili na mambo yote ya ajabu yanafanywa na Watu kwa ' interests ' zao ila kwa kutumia mgongo wa ' Taasisi ' ambayo kwa sasa inaonekana ni adui na wale wanaotaka mabadiliko nchini.
Hivi kwa mfano ukishajua kuwa GENTAMYCINE ni mpenda ' Mbunye ' au ana udhaifu mkubwa wa ' Mbunye ' halafu hapo hapo labda ' Taasisi ' inataka kummaliza hivi kuna haja ya wao ( Taasisi ) kupoteza muda kunitumia Watu na Mapanga au Risasi 38 waje wanimalize wakati ipo njia rahisi tu ya Wao kunisakizia Demu mwenye Dally Kimoko / UKIMWI kisha akaniambukiza na nikawa nakufa taratibu tu?
Kuna siku tunaoilaumu ' Taasisi ' tutaumbuka baada ya ukweli kujulikana na ni vyema Sisi sote ambao kutwa tunailaumu ' Taasisi ' na kuihusisha na haya yanayoendelea tukatubu kwa Mwenyezi Mungu kwani nina uhakika kabisa kwamba 100% hawahusiki isipokuwa tu tunawaangushia Jumba Bovu.
Nawasilisha.
Kamwe ' Taasisi ' haiwezi kumuondoa / kumuua Mtu kwa mapanga au risasi za hovyo hovyo bali nijuavyo ' Taasisi ' hutumia njia nyepesi tu na ' murua ' kama ikihitaji kumuondoa Mtu ambaye labda wanadhani ni ' tishio ' kwa ustawi wa Taifa husika.
Nimegundua ya kwamba kuna uwezekano mkubwa sana haya mauaji, ukatili na mambo yote ya ajabu yanafanywa na Watu kwa ' interests ' zao ila kwa kutumia mgongo wa ' Taasisi ' ambayo kwa sasa inaonekana ni adui na wale wanaotaka mabadiliko nchini.
Hivi kwa mfano ukishajua kuwa GENTAMYCINE ni mpenda ' Mbunye ' au ana udhaifu mkubwa wa ' Mbunye ' halafu hapo hapo labda ' Taasisi ' inataka kummaliza hivi kuna haja ya wao ( Taasisi ) kupoteza muda kunitumia Watu na Mapanga au Risasi 38 waje wanimalize wakati ipo njia rahisi tu ya Wao kunisakizia Demu mwenye Dally Kimoko / UKIMWI kisha akaniambukiza na nikawa nakufa taratibu tu?
Kuna siku tunaoilaumu ' Taasisi ' tutaumbuka baada ya ukweli kujulikana na ni vyema Sisi sote ambao kutwa tunailaumu ' Taasisi ' na kuihusisha na haya yanayoendelea tukatubu kwa Mwenyezi Mungu kwani nina uhakika kabisa kwamba 100% hawahusiki isipokuwa tu tunawaangushia Jumba Bovu.
Nawasilisha.