idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
mm ww ni mtu usiyeridhika hata siku moja,ni mwenye chuki ya asili na huna nia njema na watanzania kwa sababu ww una enjoy huko utumwani.tuache tupate katiba mpya plz
mkuu sio lazima kuchangia kila mada.inaonekana umekurupuka. wenzio wanakuja na hoja wewe unakuja na viroja jibu hoja sio kupinga bila sababu.!