Nyakati zote ikitokea Kiongozi anatuhumiwa kwa wizi au kwa ufisadi Nape na Kinana huwaambia wajiuzulu kwa Maslahi ya Chama.
Swali Langu la msingi ni kuwa kwa nini hawa watu wanakilinda Chama zaidi kuliko Nchi?.
Mimi naamini Viongozi waCcm wangeilinda Nchi kama wanavyo kilinda Chama tungekuwa mbali sana Kiuchumi.
Swali Langu la msingi ni kuwa kwa nini hawa watu wanakilinda Chama zaidi kuliko Nchi?.
Mimi naamini Viongozi waCcm wangeilinda Nchi kama wanavyo kilinda Chama tungekuwa mbali sana Kiuchumi.