Kwanini namwamini Zitto kuliko ninavyoiamini CHADEMA...!

Dijovisonjn

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
466
125
Kwanza naomba niseme wazi kabisa kuwa mimi sio mwanachama wa CHADEMA lakini pia sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila nakumbuka nilipokuwa form one (2003) (kipindi hicho naishi Muleba) Viongozi wa CHADEMA walikuja wilayani Muleba (mjini) (Nakumbuka alikuja Mbowe, Mzee Ndesamburo na wengine siwakumbuki) nakumbuka kuna mtu I think ni Mbowe alituomba tulikuwa pale uwanjani (Uwanja wa red cross Muleba) tukiunge chama mkono kwa kujiunga nacho kwa kununua kadi za uanachama ili tuwe wanachama kamili na nakumbuka huyo mtu (Mbowe?) alimuomba Mzee Ndesamburo atununulie kadi wana Muleba na mzee Ndesamburo alikubali hilo ombi.

Nakumbuka watu wengi sana tulienda kuchukua kadi ila sina uhakika kama wote waliopewa kadi bado ni wanachadema mpaka leo (Binafsi sikupewa kadi kwa sababu nilionekana bado mdogo sana ila niliambiwa nikifikisha miaka kadhaa nitapewa!) Na tokea siku ile nilitamani kuwa mwanachadema hali ambayo nahisi nitazidi kuwa nayo lakini mpaka sasa nikiwa na umri zaidi ya miaka 25 nikiwa na elimu ya chuo kikuu bado si mwanaCHADEMA japo ndoto zangu ni kuwa mwanachadema!!! KWA NINI MIMI SIO MWANACHADEMA MPAKA LEO HII?! Jibu ni moja tu SIJAWAHI KUIAMINI CHADEMA kama CHADEMA (as a political party) ila niliwahi kuwaamini baadhi ya wanachadema, niliwahi kumwamini Mbowe, Slaa Lissu n.k na mpaka leo ninamwamini Saana Zitto!

Kwa nini namwamini Zitto na siiamini CHADEMA?!

Kuna dhana inajengwa humu eti CHADEMA sasa hivi ni taasisi na kama kuna mtu alimfuata mtu ndani ya CHADEMA basi aondoke naye!!! kwanza kabisa sababu kuu iliyopo nyuma ya watu/mtu kujiunga na chama cha siasa si jina la chama, sera, kanuni wala taratibu za chama refer (http://ndialbania.org/files/Joining a Political Party - Recruiting and Keeping New Members.pdf) watu wanajiunga na vyama vya siasa kwa kufuata watu wenye ushawishi mfano Dr. Slaa, Zitto, Mnyika etc, watu wanajiunga na vyama kwa ajili kwa kupata maslahi fulani mfano Shibuda, na watu wanajiunga na chama kwa vile tu wenzake ni member wa kile chama mfano Wachanga!


Joining a Political Party: Recruiting and Keeping New Members


Introduction Members are the core of a strong, viable political party. They represent the party to the voting public and can be the workforce that wins campaigns. This is the people part of politics because without members a political party would not exist. Therefore it is important that political parties work to retain the members they have and that the party constantly recruits new members.

In recruiting new members it is important to understand why people would join a political party and how the party can persuade them to join. It is also important to understand why they might not join. Your party should have a member recruitment program that works through the points in this document.

Everyone in the political party should be aware of the program and help recruit new members. Once you have convinced members to join the political party, you must make sure they continue to see the benefits of being a member and grow to become productive members of the party.


Reasons Why Someone Would Join a Political Party People are social creatures and come together in groups or networks for various reasons. It is important to understand the different reasons someone might join a group so that you are able to indentify others in a particular network that you can encourage to join your political party. These are your target groups for membership recruitment and once you identify them you will be able to identify the reasons why they might join, and how to keep them happy as members.

1. My Immediate Network – "A close friend or family member asked me to join the party." These are the people you know well, the people who are most like you and who are the easiest to convince.

2. My Social Network – "My friends, colleagues, classmates, or neighbors are members and they asked me to join the party." This is your "tribe" – the people you hang out with, who you want to associate with, and who are likely to follow your example if asked.

3. My Traditional Network – "My family or associates have always been members of the party." It is expected that they will join.

4. My Issues Network – "The political party is doing something that is important to me, they told me about it and asked me to join." The party cares about the issues that these people care about – their neighborhood, their job, their child's education, their security, their healthcare – and is doing or will do something to improve the situation. The political party needs to tell these people that the party is working for them and invite them to join.

Joining a Political Party: Recruiting and Keeping New Members


5. My Values Network – "The political party is working for something I believe in." This is a decision to join the political party based on the things these people believe to be important, their values.

6. My Self-Interest Network – "Being a member will help me get a job, go to school, meet people, build a resume, or provide other advantages." People join for other reasons other than what the party stands for or because their friends are members. These people expect to gain in some way from their association or work with the party.

7. My Political Network - In many cases someone will join a political party for various reasons – a friend asked them to join, they like the fun, social atmosphere, they feel like they are able to accomplish something, the party is working for things that are important to them, and being a member can help them personally – so the political party fulfills many of their needs and becomes their political network.


How to Get People to Join Your Political Party Once you understand why someone would join a political party, you have to know how to get them to join. • Ask them to join!

• Give them a specific reason to join.
• Tell them what the party is doing – how the party is active and what the party is accomplishing.
• Ask them to help make a difference.
• Make it fun.
• Thank them for joining!


Reasons People Do Not Join or Do Not Stay Members of a Political Party It is also important to understand why someone would not join a political party or why they would leave a political party. By understanding these reasons you will be better able to avoid making these mistakes.


• No one asked them.
• They do not feel welcome.
• It is not clear what the party stands for.
• The party is not doing anything. • It is not fun being a member.


Joining a Political Party: Recruiting and Keeping New Members



• They do not feel appreciated – no one recently thanked them.
• They do not feel like they can help the political party. • They disagree with the party on important points.
• Other parts of their lives have become more important.


What are the Roles, Rules, Rights and Responsibilities of Being a Member Everyone in the political party needs to understand what the benefits of being a party member are. All of this should be made clear in the organizing documents of the political party and as part of the membership recruitment program.


Roles – There are many different jobs within a political party and members can aspire to and assume these various roles, moving up within the party. They may start out as supporters, become contributors and campaign workers, be trained as organizers, run as candidates, and become party leaders. Rules – The political party will have to have clear rules about who can join the political party and how they can join. There should also be clear rules on who cannot join and when and how party membership can be taken away. All party members should understand what these rules are so that when they are recruiting new members they are following the rules.


Rights – Being a party member should have certain privileges. For example, only party members will be able to vote on policy positions taken by the party, vote for the leadership of the party, select candidates or run for office using the party name.


Responsibilities – Party members may be expected to pay dues or attend meetings as a condition of their continued membership in the political party. These responsibilities should also be clear to all members.


Steps to Encourage People to Join Your Political Party The following are the steps you should consider in identifying potential new members and getting them to join your political party:


1. Target your networks – You need to think about the various networks – immediate, social, traditional, issues, values, and self-interest – and determine where you are likely to find new party members.
2. Figure out why someone in your target network might join – Once you have identified the target groups you need to determine why someone within that group might join the party – what issues or accomplishments are important to them or how will they benefit from joining the party.
Joining a Political Party: Recruiting and Keeping New Members
Page 4 of 5
3. Develop a message that will persuade them to join – Once you have identified your target networks and understand why someone would join the party you need to give them a good reason to join. As with nearly every aspect of politics, a persuasive message can be the key.
4. Determine the best way to deliver that message – Once you have a good message, you need to figure out the best way to deliver that message. For the potential new member's immediate network, you will want their close friend or family member to ask them. For the potential new member who is in the issues network, it will be important for a party member to explain how the party is working on an issue they care about.
5. Make the pitch – Once you have determined who your target networks are, identified the reasons someone would join, developed a persuasive message, and figured out how best to deliver that message, you will need to follow through and make sure the potential new members are asked. If you have done your research and thought through the process, this should be easy.


Steps to Keep People as Happy, Productive Party Members The following are the steps you should consider once someone has joined your political party to make sure that they become good members who will contribute to your party's success:

1. Make sure the new members feel welcome – Invite new members to party meetings and events and when they attend, make sure they are warmly welcomed and included in the various activities. You may want to have particular individuals within your party who are responsible for helping new members become involved.
2. Include the new members in simple tasks so they share in the accomplishments – Figure out which issues the new members are interested in and make sure they understand how they can contribute to solving the problem or helping the political party. Get them involved in group projects or simple tasks so that they know that they are contributing to the success of the political party.
3. Let them share in the credit and thank them – Everyone wants to feel that their time and energy is valuable, is well spent and is appreciated. Make sure all members are thanked for any efforts they make. You cannot say "thank you" too many times.
4. Make sure they enjoy themselves – Politics can be a lot of hard work but it can also be a lot of fun. Make sure that your members are enjoying themselves as they work for the party and spread the message to voters.
5. Train them and help them become a better party member – Many of the tasks in a political campaign or in party building may be new to your members. Make sure you give the members clear instructions and training if necessary so that they understand what is
Joining a Political Party: Recruiting and Keeping New Members
expected of them. As they gain new experiences make sure they are recognized for their skills and abilities.
6. Address any issues the members may have as quickly as possible – When a member has an issue or a problem, make sure they understand that you want to know about it as soon as possible and then work with them to come up with a solution that everyone will be satisfied with.
7. Make sure your members feel as though they are gaining something by being a party member – Party members can personally gain in many different ways. They gain by being included in a fun, social group. They gain by contributing to solutions on the problems they care about. They gain by being appreciated for their efforts and feeling a sense of accomplishment. They gain by acquiring new skills and stretching their abilities in new ways. You need to figure out how your members can contribute to the political party and at the same time feel as though they get something in return.


Keeping Track of Your Members The political party will need to keep accurate records of all their members so that they know how many members they have, where they are located, and whether they have met all the rules and responsibilities of being a member. It will also help if the party keeps track of their particular skills and the various tasks that they do for the political party so that you are able to thank them and call on them again when needed.


Conclusion The political party needs to make clear that member recruitment and retention is a priority and that it is everyone's responsibility. Build a recruitment aspect into everything the party does so that party members are always on the lookout for new members. In this way the political party will continue to grow and remain a vibrant force working for improvements within society.


J. Brian O'Day Political Party Expert Sunday, May 3, 2009


Hivyo basi kuna watu ni wanachama wa CHADEMA kwa sababu ya Slaa, Mbowe, Zitto n.k.

Mimi ni shabiki wa CHADEMA mpaka leo hii kwa sababu ya Zitto, kwanza Zitto ndiye aliyekuwa kiongozi ndani ya CHADEMA anayeifunika dhana ya ukanda walau hata sisi tusiotoka kasikazini tulijiona tuna mwakilishi ndani ya CHADEMA, Zitto huyu huyu ndiye aliyeifunika dhana ya udini ndani ya CHADEMA kwa kutuonesha sisi waislamu kuwa tunayemwakilishi ndani ya uongozi wa CHADEMA, Zitto ndiye aliyetuonesha vijana kwa vitendo kuwa vijana we can do it! na ni Zitto huyu huyu anayeifunika dhana kuwa CHADEMA kinaongozwa na watu walioishia form four na wengine form six waliojitahidi sana basi wao wana degree za dini! Na ni Zitto huyu huyu aliayeiamsha serikali iliyokuwa imeisahau mikoa ya pembezoni mwa nchi sasa mpaka hapa ni kwanini nisimwamini Zitto bila CHADEMA na Niiamini CHADEMA yenye viongozi kama mchungaji Msigwa, Lema, Sugu na Mbowe?!

Ni kwanini nisimwamini Zitto anayetaka vyama vya siasa vikaguliwe matumizi yake niiamini CHADEMA inayoona kukaguliwa ni kuvuliwa nguo hadharani?! kwa nini nisimwamini Zitto anayetaka wale walioficha pesa nje wazirudishe nchini niwaamini CHADEMA wanaoshirikiana na wale walioficha pesa kumwadhibu Zitto?!

MWISHO: I TRUST IN ZITTO.
 
Ninachokiona kwenye hoja yako kwa mbali ni udini,ukabila na ukanda. Infact usimwamini binadamu mwenzie, muamini Allah, maana yeye ndo kila kitu! Pia zitto wa miaka ile sio yule!
 
Kila mtu ana story yake jamani! Mimi nilikuwa naiamini CDM ya Marehemu Mzee Eshton Nkala, huyu alikuwa mwanzilishi wa CDM wilayani Kasulu, nadhani ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa wilaya kipindi hicho.

Lakini hii ya Mwenyekiti wetu wa hapa Kasulu, Bwana Bujoro ni ya kimaslahi zaidi, maana Mw Bujoro mwenyewe ana kashfa za ujambazi, uzulumati na hata darasa la saba hajamaliza. Sasa nikiangalia viongozi wa wilaya kama ndio hawa, na wamekubalika kitaifa napata walakini wa huo uongozi wa kitaifa unaowakubali hawa.

Unajua sisi ambao hatujui huko Dar mnaishije ishije, maana hatujawahi kuja huko huwa tunajiuliza hivi mnapata taarifa za viongozi wenu wa huku? Maana tunashangaa jinsi ambavyo kuna watu wanajimilikisha vyama halafu hawana uadilifu unaozungumzwa na Chadema taifa.

Nawaza, je kama ndio zile za kama mwana kama baba (Like son like father)! Si ni balaa.
 
safi sana dogo ! utawaona wajinga walioaminishwa kwenye ujinga watakuja hapa kujifanya wanakukatisha tamaa-lakini ulichosema ndio ukweli na hakuna hata mmoja atakayekujibu kwa hoja, nakuhakikishia.
 
Mkuu hata mimi nakuunga mkono, kuna watu wana chuki binafsi na Zitto. Tuhuma zote zinazoelekezwa kwa Mwenyekiti na Katibu mkuu wa CDM toka enzi za marehemu Chacha Wangwe mpaka leo (rejea waraka wa Chacha Wangwe) hawazioni wao wanachoona ni Zitto tu. Hata kauli ya makamu mwenyekiti alipojiuzuru kwa kuchoshwa na unafiki ndani ya CDM hawaiongelei kabisa wao kutwa nzima Zitto!

Kuna ambao wana masilahi binafsi kama Lissu maana dada yake ni mbunge wa kuteuliwa hivyo siwezi kumshangaa , Lema siwezi kumshangaa maana ndivyo alivyo lakini wengine kama Mch. Msigwa tulitegemea busara zaidi ya tunayoyasikia toka kwake. Si vizuri kendelea kumchafua kiongozi mwenzako wakati maamuzi hayajatolewa, what if baraza kuu likitengua maamuzi ya kamati kuu, watasema nini? Unless wana uhakika kuwa atafukuzwa!

Nadhani wabunge wa CDM wanaotokea kanda ya ziwa wamesoma alama za nyakati na kukaa kimya juu ya mgogoro huu maana wanajua ambacho wapiga kura wao wanakifikiria. Ngoja wana CDM wachache waliopo makao makuu waendeleze propaganda kuwa CDM iko imara, kilio kitawaumbua 2015. Waenga walisema ajidhaniae amesimama na aangalie asianguke!
 
mkuu mimi ni mkristo wa kilutheli bhana! na mhaya toka kanda ya ziwa!
alaf hebu acheni kum-overwork Mungu wetu yaani unataka na maswala ya siasa nimwachie Mungu?!

Ninachokiona kwenye hoja yako kwa mbali ni udini,ukabila na ukanda. Infact usimwamini binadamu mwenzie, muamini Allah, maana yeye ndo kila kitu! Pia zitto wa miaka ile sio yule!
 
Ni kweli mkuu coz Slaa wa 2007 si Slaa wa 2013!
People do change mkuu ukimtumainia binadamu utapotea. Wapenzi wanaouana hawakutongozana kwa mtutu. Rafiki yako mkubwa aweza kuwa adui.
So jitafakari upya vinginevyo bado sana mkuu
 
'I TRUST IN ZITTO' hapo ndipo ulipokosea mkuu,trust in UWAJIBIKAJI WA ZITTO na don't trust in ZITTO...when you trust in uwajibikaji wake siku asipowajibika itakuwa rahis kutom-trust lakin when you trust in zitto maana yake hata afanyeje you will keep on trusting him...ushauri tu.!!
 
Kwa hiyo nisipomwamini Zitto ndo nitakuwa na uwezo mzuri wa kufikiri?!

ila mkuu, mleta mada ana point kiasi flani......tafakari, ni kwa nn tuhuma za usaliti za zzk ni za kihisia zaidi, sijawahi kuona vielelezo vya usaliti wenyewe.tutende haki wanaCDM, kama chama kina ushahd kiulete kwa wanachama ili muhusika ahukumiwa kihalali. imefikia mahali wengine tunaamini haya yote ni kwa sababu ya uchaguzi mkuu ujao ndani ya chama tuu!
 
Mkuu nilikuwa njiani kuandika uzi wenye maudhui kama ya kwako sema umeniwahi.
Hata hivyo mimi nikama wewe ulivyo mimi siamini katika chama bali naamini katika watu. Chadema kama chama changu tawala kimeanzisha na watu ambao wamejitahidi sana katika kuweka misingi mizuri inayoashiria kuwa ina lengo la kuwasaidia wananchi lakini wanaokwamisha mipango hiyo ni nani kama si walewale walioiweka? CCM ni chama chenye sera nzuri sana tena kupita chama cha demokrasia na maendeleo, kumbuka na hata DR SLAA alivyokuwa ulaya alihojiwa swali kuwa anataka kuifanyia nini Tanzania ambacho CCM hawajakifanya nae bila hiyana akasema CCM ni chama chenye sera nzuri sana ila kimekosa watu wa kutekeleza sera hizo. Hivyohivyo kwa CDM nao wanasera nzuri makaratasini lakini matendo ya baadhi ya viongozi wake ni tofauti na sera za chama. Hata wale waliojitokeza wazi na kuanza kuonyesha kivitendo ndio wanaoneeekana ni wasalii. Kwanini nisimuamini ZItto ambaye amesimama kidete kuwatetea wanyonge bila kujali hata dini,kanda,kabila wanazotoka na badala yake nimuamini Mtei aliyetoa kauli za kidini katika kamati iliyounda ya maoni ya katiba? nimuamini Lema aliyepeleka chuki za kidini mpaka bungeni? Anaelilia posho kinyume na msimamo wa chama chake? Kwanini nisiamini katika mtu na kuamini taasisi wakati taasisi hiyo inaacha misingi yake na kufanya kinyume na matarajio ya watu? CDM ina lipi la kuwaaminisha watanzania kuwa ina lengo la kuwasaidia wakati wale inaowatuhumu @ ni wala rushwa,wamehongwa brifcase n.k imeshindwa kuwashughulikia?

NINAZO SABABU NYINGI SANA ZA KUAMINI KATIKA WATU KULIKO TAASISI. NAKUAMINI ZITTO.
 
Yeah that true mkuu thanks kwa kunirekebisha!
'i trust in zitto' hapo ndipo ulipokosea mkuu,trust in uwajibikaji wa zitto na don't trust in zitto...when you trust in uwajibikaji wake siku asipowajibika itakuwa rahis kutom-trust lakin when you trust in zitto maana yake hata afanyeje you will keep on trusting him...ushauri tu.!!
 
Bottom line ni kwamba keep your trust intact na mchukue ukaishi naye muanzishe Chama cheni ambazo si cha Udini, Ukanda na mengiyo na atakuwa mwenyekiti wenu maana ana mvuto mtavuta na wengine waje mkae nao na muishi bila katiba wala nidhamu acheni kupoteza muda wenu hapa jf watu wako bize na issue bwana .Zitto ndiyo kitu gani ?
 
Kila mtu ana uhuru wa kumuamini mtu yeyote yule anayemtaka.
Hivyo, everybody, feel free to trust any one.
 
Pokea like yangu mkuu!
Mkuu nilikuwa njiani kuandika uzi wenye maudhui kama ya kwako sema umeniwahi.
Hata hivyo mimi nika wewe ulivyo mimi siamini katika chama bali naamini katika watu. Chadema kama chama changu tawala kimeanzisha na watu ambao wamejitahidi sana katika kuweka misingi mizuri inayoashiria kuwa ina lengo la kuwasaidia wananchi lakini wanaokwamisha mipango hiyo ni nani kama si walewale walioiweka? CCM ni cchama chenye sera nzuri sana tena kupita chama cha dempkrasia na maendeleo, kumbuka na hata DR SLAA alivyokuwa ulkaya alihojiwa swali kuwa anataka kuifanyia nini Tanzania ambacho CCM hawajakifanya nae bila hiyana akasema CCM ni chama chenye sera nzuri sana ila kimekosa watu wa kutekeleza sera hizo. Hivyohivyo kwa CDM nao wanasera nzuri makaratasini lakini matendo ya baadhi ya viongozi wake ni tofauti na sera za chama. Hata wale waliojitokeza wazi na kuanza kuonyesha kivitendo ndio wanaoneeekana ni wasalii. Kwanini nisimuamini ZItto ambaye amesimama kidete kuwatetea wanyonge bila kujali hata dini,kanda,kabila wanazotoka na badala yake nimuamini Mtei aliyetoa kauli za kidini katika kamati iliyounda ya maoni ya katiba? nimuamini Lema aliyepeleka chuki za kidini mpaka bungeni? Anaelilia posho kinyume na msimamo wa chama chake? Kwanini nisiamini katika mtu na kuamini taasisi wakati taasisi hiyo inaacha misingi yake na kufanya kinyume na matarajio ya watu? CDM ina lipi la kuwaaminisha watanzania kuwa ina lengo la kuwasaidia wakati wale inaowatuhumu @ ni wala rushwa,wamehongwa brifcase n.k imeshindwa kuwashughulikia?

NINAZO SABABU NYINGI SANA ZA KUAMINI KATIKA WATU KULIKO TAASISI. NAKUAMINI ZITTO.
 
Wewe ni dini gani? unafuata mtu baadala ya sera ya chama husika msomi gani wewe unakuwa mbulula hivyo au umesoma udsm maana ndo wanaongoza kutoa mambulula siku.
 
Mkuu siasa haiendi hivyo!
Bottom line ni kwamba keep your trust intact na mchukue ukaishi naye muanzishe Chama cheni ambazo si cha Udini, Ukanda na mengiyo na atakuwa mwenyekiti wenu maana ana mvuto mtavuta na wengine waje mkae nao na muishi bila katiba wala nidhamu acheni kupoteza muda wenu hapa jf watu wako bize na issue bwana .Zitto ndiyo kitu gani ?
 
Back
Top Bottom