Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,421
Zawadi zake haziteketezi miti ya Mpingo (blackwood) kama kipindi cha Mwendazake ambapo alikuwa akiangusha miti kutengeneza zawadi ya vinyago kwa Marais na wageni wake.
Hiki kitu kilikuwa kinaniuma maana ilikuwa ni uharibifu wa mazingira!
VS
Hiki kitu kilikuwa kinaniuma maana ilikuwa ni uharibifu wa mazingira!
VS