Kwanini nafurahia zawadi za Rais Samia kwa wageni wake

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,189
79,421
Zawadi zake haziteketezi miti ya Mpingo (blackwood) kama kipindi cha Mwendazake ambapo alikuwa akiangusha miti kutengeneza zawadi ya vinyago kwa Marais na wageni wake.

Hiki kitu kilikuwa kinaniuma maana ilikuwa ni uharibifu wa mazingira!
1623322455215.png

VS
 
Back
Top Bottom