Kwanini nafurahia Askofu Gwajima anavyopingana na maamuzi ya Serikali ya Rais Samia

Gwajima anamdharau mwenyekiti wa chama chake.
Jamani si ana uhuru wa kutoa mawazo yake? na wote wanaosikia pia wana uhuru wa kupembua pumba na mchele! watachukua linalowafaa na mengine watayaacha hapo hapo
 
Gwajima anaongea kwa record's. Ukitaka kumpinga kasema ruksa ila uwe na hoja, kutumwa kumjibu.
Mfano. Hiyo chanjo iko approved? Kwamba imepitia hatua zte za utafiti mpaka iitwe chanjo?
Mbona ndg yangu Mbowe alitaka chanjo iwe ya lazima kwa kila nchi na hukuhoji?
Kifupi hata km jpm kalala kule chato lakini ametuacha watanzani tukiwa IMARA JANA , LEO NA HATA MILELE gwajima anaendelea kutuimarisha.
Huyo gwajima ashtakiwe kwa kupotosha dhidi ya vita ya coronavirus, kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni ila sio kupotosha umma
 
Gwajima anaongea kwa record's. Ukitaka kumpinga kasema ruksa ila uwe na hoja, kutumwa kumjibu.
Mfano. Hiyo chanjo iko approved? Kwamba imepitia hatua zte za utafiti mpaka iitwe chanjo?
Mbona ndg yangu Mbowe alitaka chanjo iwe ya lazima kwa kila nchi na hukuhoji?
Kifupi hata km jpm kalala kule chato lakini ametuacha watanzani tukiwa IMARA JANA , LEO NA HATA MILELE gwajima anaendelea kutuimarisha.
Ameen
 
Chadema mnadai uhuru wa kujieleze muda mrefu, Uhuru mnadai nyinyi ni upi acheni unafiki

Gwajima katumia uhuru wake Chadem mnasema anapingana na Mwenyekiti wake. Tuelewe kitu gani neno gani baya alilotamka Gwajima mbona hajakamatwa kama Mwenyekiti wa Chadema Mbowe yupo selo kwa kuchochea
 
Huyu genticine kumbe nae anaandika pumba. Badilika ndugu. Sio gwajima tu. Hat Sisi's hatukaki kuwa mazombi.mabarakoa ma machanjo hatuka
 
Mademu Saba? Upo vzr mkuu
Hakuna asiyejua kuwa majina yangu Kamili ni Kalemera Mazimpaka Rwigyema Kadogoo na siishi Tanzania bali nipo zangu hapa Kwetu Mkoani Gisenyi nchini Rwanda. Huko Kwenu Tanzania na hasa hapo Kawe Kinondoni nina Mademu zangu kama Saba ( 7 ) hivi.
 
Pale aliongea kama baba askofu hakuongea kama mbunge, na platform alotumia ni kanisa sio jukwaa so Mimi ni nan hata nipingane saut ya Mungu ya baba askofu, na jumapili lazima niende kanisan kwake ikimpendeza Mungu nitakuwa hukko
 
Wewe ni yule yule Kalemera ninayemfahamu (L) au nimfirkie mwingine?
 
Upo sahihi kabisa, hapo ndiyo tunasema ameitumia demokrasia yake sawasawa
Mbowe angeongelea mambo ya chama chake ndani ya ofisi za chadema yasingemfika lakini kwa sababu ya kujiona yeye ni mkubwa kuliko rais wa JMT amepata alichokuwa anakitafuta. MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA.
 
Mie najiuliza so akija raisi mwingine akadai hakuna tupige vyungu so tunafuata Tena.
Ivi ni kwa Nini tunakuwa makondoo hivi yaani hatuna maamuzi Kama binadamu.yaani mtu mmoja anayeamua basi.
Wale jamaa waliokuwa wanapinga chanjo ya mzungu iko kibiashara zaidi wote wamekufa. Wa Burundi,wa Haiti, Madagascar,wa Tanzania.
Afu hii chanjo ni msaada na sio mkopo. Eti usa wametusaidia kweli jamani.
Yaani wao misaada Yao ni Ile recurrent expenditure na sio capital expenditure. Sijawahi ona wanatusaidia hela tujenge kiwanda fulani ili ajira zipatikane. Tuuzalishe bidhaa tuwauzie fedha ya kigeni iingie ili saraafu yetu iwe strong.
Ila bana basi tu
 
Wewe ni yule yule Kalemera ninayemfahamu (L) au nimfirkie mwingine?
Ndiyo huyo huyo ambaye Jina langu la Ubatizo wa Ukatoliki ni Laurent kama hiyp ( L ) yako ulivyoiwakilisha vyema hapo.

Karibu sana hapa Gisenyi Rwanda Mkuu.
 
Si bora gwajima kaupiga mwingi kwenye kuifaragua chanjo, usimlingani askofu na hao maaskofu unaoona wako sawa. Askofu gwajima ni next level asikatishwe tamaa wala kutishwa kwenye maoni yake kuhusu chanjo za covid 19
Fact
 
Back
Top Bottom