Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,575
- 31,888
Jump to: navigation, search
The Williamson Diamond Mine (also known as the Mwadui mine) is a diamond mine south of Mwanza in Tanzania; it became well known as the first significant diamond mine outside of South Africa. The mine was established in 1940 by Dr. John Williamson, a Canadian geologist,[SUP][1][/SUP] and has been continuous operation since then, making it one of the oldest continuously operating diamond mines in the world. Over its lifetime it has produced over 19 million carats (3,800 kg) of diamonds. The Williamson mine, once owned by its namesake Dr. Williamson and later nationalized by the government of Tanzania, is now majority owned by Petra Diamonds (75% ownership), with the government of Tanzania owning the remaining 25%..
Wanabodi.
Kulikuwa na umuhimu gani Mwl Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania kuwauzia Waingereza Mgodi wetu wa Almasi kule Mwadui Shinyanga. Inasemakekana kwa sasa hivi serikali ya Tanzania hawapati chochote kwenye huo mgodi wa Almasi Mwadui Shinyanga.
Kumbe hii tabia ya kuuza mali za Watanzania zimeanza miaka mingi sana. cha kusikitisha wabunge wetu na wanaharakati wetu ili suala wamelikalia kimya wameshindwa hata kuhoji.
Williamson diamond mine (Mwadui) | |
---|---|
Location | |
Williamson diamond mine Location in Tanzania Click the blue globe to open an interactive map. 03°31′S 033°36′E / 3.51667°S 33.6°E / -3.51667; 33.6 | |
Country | Tanzania |
Owner | |
Company | Petra Diamonds (75%) Government of Tanzania (25%) |
Production | |
Products | Diamonds (300,000 carats per annum) |
History | |
Opened | 1940 |
Wanabodi.
Kulikuwa na umuhimu gani Mwl Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania kuwauzia Waingereza Mgodi wetu wa Almasi kule Mwadui Shinyanga. Inasemakekana kwa sasa hivi serikali ya Tanzania hawapati chochote kwenye huo mgodi wa Almasi Mwadui Shinyanga.
Kumbe hii tabia ya kuuza mali za Watanzania zimeanza miaka mingi sana. cha kusikitisha wabunge wetu na wanaharakati wetu ili suala wamelikalia kimya wameshindwa hata kuhoji.