caliis
Senior Member
- Aug 3, 2015
- 107
- 117
Embu tuanze na hili kwanza la vichanga , unaelewa Allah aliua watu wote kwa nuhu wake , embu weka ushahidi vichanga havikuuliwa
Koran 71:26. Na Nuh'u akasema: Mola wangu Mlezi! Usimwache juu ya ardhi mkaazi wake yeyote katika makafiri!
Allah Hana jinsia ila Mungu wenu ana jinsia,,au unakana kua Yesu sio Mungu,,,na umetoka kusema alikatwa govi Sasa govi linakatwa wapi kama sio kwenye uume?? halafu usipotoshe hiyo aya ipo hivi;Ngoja nikuoneshe mungu mwenye jinsia na uume
Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
Akitaka anapiga machine Malaika au houri
21:16 - Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo
21:17 - Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo.
Nimekuonesha Yehova alivobariki watu wauawe kwa upanga unabadili mada kwa kuleta habari za gharika,, point Ni kwamba Yehova ndio muasisi wa kuua watu kwa upanga.