Kwanini Mwenyezi Mungu hupenda sana Kuwazawadia Wakristo Mvua Siku za Pasaka na Krismas huku wengine akiwakaanga na Jua Kali tu?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Sikumbuki ni lini Siku za Sikukuu za Pasaka na Krismasi huwa Mvua hainyeshi karibia maeneo mengi ya nchi ya Tanzania.

Natamani na tarehe 2, 3 na 4 Mwezi May, 2022 pia Mvua zinyeshe ili nione na niamini pia kuwa kumbe hata Mwenyezi Mungu nae huwa anabalansi katika Utoaji wake wa Zawadi na Neema kwa Waja wake.
 
Nyie sikukuu zenu zote si zipo kifuku

Sasa ebu fikiria huu mwezi wa nne waislamu wamefunga, hapa sikukuu ya iddi ni mpaka mwezi wa tano ambapo tayari ni kiangazi.

Hiyo mvua itanyesha vipi?

Halafu mvua si mara zote mvua ni yakuifagilia ikinyesha kwenye sherehe. Kuna siku inaweza nyesha na ikatibua sherehe yenyewe mwisho wa siku ikadula.
 
Unawasema wale ambao wanabadili ratiba ya chakula kutoka mchana kuwa usiku?
Wewe acha upumbavu, unataka waislamu, wafunge kwa kufuata mistari ya bibilia sasa utakua Uislamu huo.
Leo hii kanuni licha kuwa si za Kiislamu, bali hata kwenye bibilia hakuna kipengele kinachokuagiza wewe mfuasi, kufunga mwezi mzima bila kula.

Tatizo imani yako huifuatili, ila ukiusema Uislamu vibaya unajua yesu upo na yesu karibu.
 
Wakristo wengi wako wakristo sababu wamezaliwa na wazazi wakristo, ila wengi hawana mafundisho juu ya Ukristo nini, na jinsi ya kuishi.

Pasaka kila mwaka inafanyika, Wiki ya pili ya mwezi wa nne.

Mwezi wa nne,kwa Dar ni kipindi cha mvua, lakini ukitaka kuona akili za huyu mwenye mada zinafikili karibu. Pasaka inaadhimishwa Duniani kote, ila kuna upande wa Dunia mwezi huu hawana mvua.
Hata hapa Tanzania tu baadhi ya maeneo yanashuhudia jua.
 
Wakristo wengi wako wakristo sababu wamezaliwa na wazazi wakristo, ila wengi hawana mafundisho juu ya Ukristo nini, na jinsi ya kuishi.

Pasaka kila mwaka inafanyika, Wiki ya pili ya mwezi wa nne.

Mwezi wa kwa Dar ni kipindi cha mvua, lakini ukitaka kuona akili za huyu mwenye mada zinafikili karibu. Pasaka inaadhimishwa Duniani kote, ila kuna upande wa Dunia mwezi huu hawana mvua.
Hata hapa Tanzania tu baadhi ya maeneo yanashuhudia jua.
Kweli mkuu hata Uarabuni waislam ni wengi sababu wamesilimu na kule kwao kubadili dini kutoka uislamu ni kitu cha kawaida huwezi kuhukumiwa kifo
 
Back
Top Bottom