Kwanini mwenyezi Mungu hajapenda kuonekana kwa binadamu ?

Amina Victor wa happy

MSEZA MKULU
Bosi ninachoepuka hapa nikubishana na watu ambao wameambiwa hakuna Mungu. Hawana Hoja yoyote ya msingi watabisha bila hata point ya msingi. Tulichojaribu kuwajibu kwa kirefu sana humu jukwaani ni kwamba,

Maswali na hoja zoote zinazotolewa juu ya uwepo wa Mungu vinajibika kiurahisi mno kwa kujua tu Mungu ni nani ?!

Maana ya Neno Mungu:

Neno Mungu maana yake ni Muumbaji, Mungu sio jina la kawaida, ni jina ambalo limetokana na sifa ya uumbaji kama vile tunavyoona Muashi, Mhunzi, Sonara na kadharika.

Kinachofanya Jina hili liwe na title kubwa zaidi Ulimwenguni ni kwasababu ya ukweli kwamba Hakuna Mungu (Muumbaji) mwingine zaidi ya Yule muumba mbingu na nchi. Vitanda vipo vingi na watengenezaji ni wengi lakini Dunia ni moja Hakuna nyingine. Masonara wapo wengi na vito vya thamani vipo vya kila aina, lakini Binadamu ni wa aina moja na Uliyemuumba (Mungu) ni mmoja. Hii ndio sifa ambayo inafanya Mungu(Muumbaji) awe mwanataaluma wa kutisha zaidi katika historia.

Mungu ni Nani?

Ukishaelewa kuwa Mungu ni muumbaji, katika hali ya kawaida tu utataka kufahamu kuwa huyo muumbaji ni nani. Kwenye vitabu vya imani tunasoma kuwa Mungu ni Roho (Yoh 4:24).

Mungu yupoje ?


Ukielewa kuwa Mungu ni Roho kisha ukauliza Yupoje maana yake unataka kujua kuwa Roho ipoje! . Luka 24:39 "Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo"

Hapo elewa kuwa Mungu ni kama Upepo tu Hana Mwili wala umbile lolote.

Ndugu Deejay nasmile Tambua kwamba, Hatumjui mungu kwasababu ya Ukristo na Uisilamu, Mungu alitambuliwa tangu enzi za mababu zetu. Ukristo na Uislamu ni Taratibu tu wa Jinsi ya Kumfata Huyo Roho Aliyeumba mbingu na Nchi. Pia Tambua kwamba Fikra za kwanini mungu hajataka kujitokeza si fikra sahihi hata kidogo kwani yupo hata hapo ulipoandika hii post ya kumhoji.

Jaribu kuuliza maswali ya msingi, uliza kwanini tumtafute, uliza kwanini kunahukumu na kiama, uliza maswali mazito kuhusu mungu JF kuna wataalamu Watakudadavulia, acha kukaririshwa kuwa hakuna Mungu.

Summary:

Neno Mungu limetokana na sifa ya UUmbaji (Muumbaji)! Mungu ni Roho (Hana mwili wala mfupa), Hivyo yupo kila mahali.
Roho haina mwili wala mfupa lakini inaweza kuvaa umbo lolote lile,

mf: Mungu alivyotaka kuongea na mussa alijitokeza kwa njia ya kijiti, roho ilijidhihirisha kwa njia hiyo, Hivyo inawezekana Mababu zetu walikuwa sawa kuabudu milima.

Kama Mungu aliweza kujidhihirisha kupitia kijiti basi anaweza kupitia ngombe, anaweza kupitia mti, anaweza kupitia mlima, kwasababu vyote hivi vinathamani zaidi ya Kijiti alichotumia kipindi cha mussa,

na wakati mwingine anaweza kujidhihirisha kupitia Umbile la kibinadamu, Hatuna sababu ya kubishana na njia aliyotumia wala kile alichofanya alipojidhihirisha, ila kutafakari lengo lake na maagizo aliyoacha.

Muda unabana lakini kwa haya machache nadhani nimeeleweka na tutaendelea kubadilishana mawazo
GOOD
 
Alijua tutamlilia sana.wewe fikiria unapofiwa na mtu wako wa karibu si ungekesha mlangoni kwakwe ukilia?
Kifo cha magufuli mamilion ya watu tuliumia si tungekesha kwake tukimlilia amrudishe?

Shida mbali mbali tunazozipata pata picha nn kingetokea?

Mungu ana uwezo wa kufanya kila kitu basi aliamua iwe hivyo tu maana kuna maisha baada ta haya tunayoishi. Tutazaliwa upya.
 
Alijua tutamlilia sana.wewe fikiria unapofiwa na mtu wako wa karibu si ungekesha mlangoni kwakwe ukilia?
Kifo cha magufuli mamilion ya watu tuliumia si tungekesha kwake tukimlilia amrudishe?

Shida mbali mbali tunazozipata pata picha nn kingetokea?

Mungu ana uwezo wa kufanya kila kitu basi aliamua iwe hivyo tu maana kuna maisha baada ta haya tunayoishi. Tutazaliwa upya.
Ok thanx mkuu
 
Amina Victor wa happy

MSEZA MKULU
Bosi ninachoepuka hapa nikubishana na watu ambao wameambiwa hakuna Mungu. Hawana Hoja yoyote ya msingi watabisha bila hata point ya msingi. Tulichojaribu kuwajibu kwa kirefu sana humu jukwaani ni kwamba,

Maswali na hoja zoote zinazotolewa juu ya uwepo wa Mungu vinajibika kiurahisi mno kwa kujua tu Mungu ni nani ?!

Maana ya Neno Mungu:

Neno Mungu maana yake ni Muumbaji, Mungu sio jina la kawaida, ni jina ambalo limetokana na sifa ya uumbaji kama vile tunavyoona Muashi, Mhunzi, Sonara na kadharika.

Kinachofanya Jina hili liwe na title kubwa zaidi Ulimwenguni ni kwasababu ya ukweli kwamba Hakuna Mungu (Muumbaji) mwingine zaidi ya Yule muumba mbingu na nchi. Vitanda vipo vingi na watengenezaji ni wengi lakini Dunia ni moja Hakuna nyingine. Masonara wapo wengi na vito vya thamani vipo vya kila aina, lakini Binadamu ni wa aina moja na Uliyemuumba (Mungu) ni mmoja. Hii ndio sifa ambayo inafanya Mungu(Muumbaji) awe mwanataaluma wa kutisha zaidi katika historia.

Mungu ni Nani?

Ukishaelewa kuwa Mungu ni muumbaji, katika hali ya kawaida tu utataka kufahamu kuwa huyo muumbaji ni nani. Kwenye vitabu vya imani tunasoma kuwa Mungu ni Roho (Yoh 4:24).

Mungu yupoje ?


Ukielewa kuwa Mungu ni Roho kisha ukauliza Yupoje maana yake unataka kujua kuwa Roho ipoje! . Luka 24:39 "Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo"

Hapo elewa kuwa Mungu ni kama Upepo tu Hana Mwili wala umbile lolote.

Ndugu Deejay nasmile Tambua kwamba, Hatumjui mungu kwasababu ya Ukristo na Uisilamu, Mungu alitambuliwa tangu enzi za mababu zetu. Ukristo na Uislamu ni Taratibu tu wa Jinsi ya Kumfata Huyo Roho Aliyeumba mbingu na Nchi. Pia Tambua kwamba Fikra za kwanini mungu hajataka kujitokeza si fikra sahihi hata kidogo kwani yupo hata hapo ulipoandika hii post ya kumhoji.

Jaribu kuuliza maswali ya msingi, uliza kwanini tumtafute, uliza kwanini kunahukumu na kiama, uliza maswali mazito kuhusu mungu JF kuna wataalamu Watakudadavulia, acha kukaririshwa kuwa hakuna Mungu.

Summary:

Neno Mungu limetokana na sifa ya UUmbaji (Muumbaji)! Mungu ni Roho (Hana mwili wala mfupa), Hivyo yupo kila mahali.
Roho haina mwili wala mfupa lakini inaweza kuvaa umbo lolote lile,

mf: Mungu alivyotaka kuongea na mussa alijitokeza kwa njia ya kijiti, roho ilijidhihirisha kwa njia hiyo, Hivyo inawezekana Mababu zetu walikuwa sawa kuabudu milima.

Kama Mungu aliweza kujidhihirisha kupitia kijiti basi anaweza kupitia ngombe, anaweza kupitia mti, anaweza kupitia mlima, kwasababu vyote hivi vinathamani zaidi ya Kijiti alichotumia kipindi cha mussa,

na wakati mwingine anaweza kujidhihirisha kupitia Umbile la kibinadamu, Hatuna sababu ya kubishana na njia aliyotumia wala kile alichofanya alipojidhihirisha, ila kutafakari lengo lake na maagizo aliyoacha.

Muda unabana lakini kwa haya machache nadhani nimeeleweka na tutaendelea kubadilishana mawazo
Nimekuelewa vizuri mkuu..asante kwa darassa zuri
 
Amina Victor wa happy

MSEZA MKULU
Bosi ninachoepuka hapa nikubishana na watu ambao wameambiwa hakuna Mungu. Hawana Hoja yoyote ya msingi watabisha bila hata point ya msingi. Tulichojaribu kuwajibu kwa kirefu sana humu jukwaani ni kwamba,

Maswali na hoja zoote zinazotolewa juu ya uwepo wa Mungu vinajibika kiurahisi mno kwa kujua tu Mungu ni nani ?!

Maana ya Neno Mungu:

Neno Mungu maana yake ni Muumbaji, Mungu sio jina la kawaida, ni jina ambalo limetokana na sifa ya uumbaji kama vile tunavyoona Muashi, Mhunzi, Sonara na kadharika.

Kinachofanya Jina hili liwe na title kubwa zaidi Ulimwenguni ni kwasababu ya ukweli kwamba Hakuna Mungu (Muumbaji) mwingine zaidi ya Yule muumba mbingu na nchi. Vitanda vipo vingi na watengenezaji ni wengi lakini Dunia ni moja Hakuna nyingine. Masonara wapo wengi na vito vya thamani vipo vya kila aina, lakini Binadamu ni wa aina moja na Uliyemuumba (Mungu) ni mmoja. Hii ndio sifa ambayo inafanya Mungu(Muumbaji) awe mwanataaluma wa kutisha zaidi katika historia.

Mungu ni Nani?

Ukishaelewa kuwa Mungu ni muumbaji, katika hali ya kawaida tu utataka kufahamu kuwa huyo muumbaji ni nani. Kwenye vitabu vya imani tunasoma kuwa Mungu ni Roho (Yoh 4:24).

Mungu yupoje ?


Ukielewa kuwa Mungu ni Roho kisha ukauliza Yupoje maana yake unataka kujua kuwa Roho ipoje! . Luka 24:39 "Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo"

Hapo elewa kuwa Mungu ni kama Upepo tu Hana Mwili wala umbile lolote.

Ndugu Deejay nasmile Tambua kwamba, Hatumjui mungu kwasababu ya Ukristo na Uisilamu, Mungu alitambuliwa tangu enzi za mababu zetu. Ukristo na Uislamu ni Taratibu tu wa Jinsi ya Kumfata Huyo Roho Aliyeumba mbingu na Nchi. Pia Tambua kwamba Fikra za kwanini mungu hajataka kujitokeza si fikra sahihi hata kidogo kwani yupo hata hapo ulipoandika hii post ya kumhoji.

Jaribu kuuliza maswali ya msingi, uliza kwanini tumtafute, uliza kwanini kunahukumu na kiama, uliza maswali mazito kuhusu mungu JF kuna wataalamu Watakudadavulia, acha kukaririshwa kuwa hakuna Mungu.

Summary:

Neno Mungu limetokana na sifa ya UUmbaji (Muumbaji)! Mungu ni Roho (Hana mwili wala mfupa), Hivyo yupo kila mahali.
Roho haina mwili wala mfupa lakini inaweza kuvaa umbo lolote lile,

mf: Mungu alivyotaka kuongea na mussa alijitokeza kwa njia ya kijiti, roho ilijidhihirisha kwa njia hiyo, Hivyo inawezekana Mababu zetu walikuwa sawa kuabudu milima.

Kama Mungu aliweza kujidhihirisha kupitia kijiti basi anaweza kupitia ngombe, anaweza kupitia mti, anaweza kupitia mlima, kwasababu vyote hivi vinathamani zaidi ya Kijiti alichotumia kipindi cha mussa,

na wakati mwingine anaweza kujidhihirisha kupitia Umbile la kibinadamu, Hatuna sababu ya kubishana na njia aliyotumia wala kile alichofanya alipojidhihirisha, ila kutafakari lengo lake na maagizo aliyoacha.

Muda unabana lakini kwa haya machache nadhani nimeeleweka na tutaendelea kubadilishana mawazo
mungu hayupo kila mahala ,siku zote yupo kwenye mbingu yke na ndio maana roho zinapotoka kwenye mwili huelekea kwenye chanzo chake mbinguni,na katka ulimwengu mna nguvu zake tu zinazotufanya tupate mabaya na mazur kulingana na mfumo wa karma
 
je alijua wengi watamlilia sana?

je watamuuliza sana maswali mengi?

je ameamua tu?

au hayupo?

Msaada wenu tafadhari mwenye idea na hili suala.

Japo najua kuwa yeye mwenyewe ndiye alipaswa aulizwe swali hili
Huwezi ukamuona Mungu halafu ukaendelea kuishi (Kutoka 33:20). Nitatoa mifano michache: 1) barafu iliyotamani kupata uzoefu wa kukaa ndani ya tanuru kwa angalau nusu saa tu. 2) Mtu aliyetamani kutua kwenye jua na chombo chake cha anga za juu. 3) Chombo cha plastic kilicholalamika na kudai kinanyanyaswa kwa kunyimwa haki ya kutumika kupika ugali kwenye jiko la mkaa.
Kifupi tu kaka (sijui ni dada - unisamehe tu bure) mwanadamu huyu mwenye dhambi hawezi kumuona Mungu maana Mungu ni moto ulao (Kumb. 4:23-24, Waebrania 12:29).
Kwa hiyo anafanya hivyo kwa usalama wako, ndio sababu ili atukomboe na sisi wenye dhambi tupate nafasi ya kumuona kwa karibu na kumshika ilibidi afanyike mwili, akakaa nasi (Imanueli) Yohana 1:14, Yohana 14:9 na pia Yohana 12:45
 
Sikumaanisha hivyo. Nilichotaka kutoka kwa muuliza swali ni kumpa nafasi ya kujua utaratibu mzuri zaidi wa kuuliza maswali tofauti na alivyofanya kuuliza vijiswali vya kitoto kabisa. Mwenyewe kaelewa ndio maana hajarudi.

Swali lake linalazimisha mimi nifikirie kuwa mungu aliwaza nini mpaka asiishi kama wanadamu, is it possible!! Thats Y nilimuonesha udhaifu wa swali lake kwa kumuuliza swali la JD. Huwezi kukaa na kuwaza kuwa Lady JD aliwaza nini mpaka asitokee mahakamani, hata nikisema ameamua tu, huwezi kufaidika na chochote kutoka kwenye swali jepesi kama hilo. What I know kama una positive thinking, utakubali kuwa yote yamefanyika kwaajili ya mema.
Hilo swal sio jepes hata kidgo Ni swali fikirishi sna, isack Newton alijiuliza kwa nn linadondoka mtini kwa mtazamo wa akili finyu unaweza sema Ni swal la kijinga , unapotaka kujibu na kuhoji Jambo ukiweka mambo ya kiimani hutafanikiwa kupata jibu na ndio maana wakolon walieneza dini kwanza ili tusiwe na fikra Pana za kuhoji Wala kupinga chochte
 
Back
Top Bottom