Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,766
- 20,155
Sio wote mkuuWakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka
MEK_TZ