Oppo A17k
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 544
- 1,417
Wakuu poleni na harakati za kila siku katika ujenzi wa taifa
Binafsi nimeshindwa kuelewa hii tabia ya mwanamke kutoa namba ya simu kwa mwanaume mwingine wakati anafaham kabisa kifuatacho hapo ni kutongonzwa na wakati yupo kwenye mahusiano mengine.
Mkasa ulionitokea.
Juzi wakati nipo job sehem fulani x kaja dem mmoja kamalizia hapo shule mwaka mmoja uliopita kaja kuchukua cheti chake basi katika zile harakati za kutia sign pale mwamba nikajipinda nikaomba namba dem kanipa nikataka nimpange mida tukutane tukae tuyajenge akasema atakua bize
Nikaema haina shida tukaongea hapo kanikubalia pia akanihoji vip nikamwambia sina mke ila nakaa geto alone akasema poa haina shida
Usiku nikamcheki tukaongea kidogo nikamwambia kesho anicheki tuonane akasema poa haina shida
Kesho yake kutwa nzima kimya namsubili mtu wap natuma text kimya akaja kunijibu usiku anasema ye anamtu wake me nikajua labda ndio sitaki nataka mwamba nikaendelea kukaza dem akaweka msimamo anasema ye anamtu wake me nikasema haina noma.
Nimeshindwa kuelewa maana yake nin kunikubalia mwanzo then baadae anakuja kukataa pia kwanin asingekataa mwanzo kabisa na namba alinipa ya nini?
Kwenu wakubwa na wajuzi wa mambo nawasilisha. Kazi iendelee
View attachment 2247184
Binafsi nimeshindwa kuelewa hii tabia ya mwanamke kutoa namba ya simu kwa mwanaume mwingine wakati anafaham kabisa kifuatacho hapo ni kutongonzwa na wakati yupo kwenye mahusiano mengine.
Mkasa ulionitokea.
Juzi wakati nipo job sehem fulani x kaja dem mmoja kamalizia hapo shule mwaka mmoja uliopita kaja kuchukua cheti chake basi katika zile harakati za kutia sign pale mwamba nikajipinda nikaomba namba dem kanipa nikataka nimpange mida tukutane tukae tuyajenge akasema atakua bize
Nikaema haina shida tukaongea hapo kanikubalia pia akanihoji vip nikamwambia sina mke ila nakaa geto alone akasema poa haina shida
Usiku nikamcheki tukaongea kidogo nikamwambia kesho anicheki tuonane akasema poa haina shida
Kesho yake kutwa nzima kimya namsubili mtu wap natuma text kimya akaja kunijibu usiku anasema ye anamtu wake me nikajua labda ndio sitaki nataka mwamba nikaendelea kukaza dem akaweka msimamo anasema ye anamtu wake me nikasema haina noma.
Nimeshindwa kuelewa maana yake nin kunikubalia mwanzo then baadae anakuja kukataa pia kwanin asingekataa mwanzo kabisa na namba alinipa ya nini?
Kwenu wakubwa na wajuzi wa mambo nawasilisha. Kazi iendelee
View attachment 2247184