Nimekuwa nikishangazwa na hili,ni kwa nini gazeti la Mwanahalisi huwa halipewi nafasi na almost formal institutions zote? kama vile vyuo(serikali na private),maktaba mbalimbali za mikoa n.k,kwy redio na T.V vipindi vya magazeti,ni kwanini?je haliaminiki,je ni......,je ni nini?hivi ni kwanini?