johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Naomba ufafanuzi kutoka kwa mwenezi wa CCM komredi Shaka ambaye ametokea UVCCM hivi pale Vijana hamuandai viongozi watarajiwa tena.
Maana safu za uongozi wanajazana machadema watupu vijana wetu wa UVCCM hatuwaoni kabisa.
Bananga anasema mkewe ni mnyamwezi hivyo anaomba apewe kazi CCM kana kwamba huko CCM hakuna wanyamwezi.
Tangu aondoke bwana mdogo Emmanuel Nchimbi UVCCM haisikiki kabisa, tatizo ni nini lakini?
Mungu ni mwema wakati wote.
Maana safu za uongozi wanajazana machadema watupu vijana wetu wa UVCCM hatuwaoni kabisa.
Bananga anasema mkewe ni mnyamwezi hivyo anaomba apewe kazi CCM kana kwamba huko CCM hakuna wanyamwezi.
Tangu aondoke bwana mdogo Emmanuel Nchimbi UVCCM haisikiki kabisa, tatizo ni nini lakini?
Mungu ni mwema wakati wote.