MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Mimi ni KEROZENE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed. Una Swali lingine?Wewe ni Janeth!!???
Mimi ni KEROZENE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed. Una Swali lingine?Wewe ni Janeth!!???
Huyu kwa sasa kapat hifadhi kaburini huko kitovu cha utalii kanda pendwaMayanga construction ni nani mkuu!?
Nauliza tu hasa kwa wale wahenga Pascal Mayalla, Mrangi na Mmawia.
Hata mwaka ule tukienda Mutukula kumfurusha Nduli Amin Nyerere alikuwa anapigilia sare za mgambo.
Siku hizi mgambo wanashughulika zaidi na wamachinga siyo vita.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hakutaka kujionyesha na kujikweza alikuwa na Hofu ya MUNGUNauliza tu hasa kwa wale wahenga Pascal Mayalla, Mrangi na Mmawia.
Hata mwaka ule tukienda Mutukula kumfurusha Nduli Amin Nyerere alikuwa anapigilia sare za mgambo.
Siku hizi mgambo wanashughulika zaidi na wamachinga siyo vita.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Major Samia huyo.