Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mwaka ya serikali (July - June) unatofautiana sana na mwaka wa kawaida wa kwenye kalenda (January - December)? What's the logic behind?
Kwanini bajeti ya serikali sio ya kuanzia January mpaka December 2020 bali ni July 2019 mpaka June 2020?
What's the logic behind? Nini mantiki ya hii? Au ni maamuzi tu? Kama ni maamuzi tu kwanini mwaka hauanzi August 2019 mpaka July 2020?
Ninaomba ufafanuzi kutoka kwa wataalam wanaofahamu masuala haya. Karibuni sana wakuu.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini mwaka ya serikali (July - June) unatofautiana sana na mwaka wa kawaida wa kwenye kalenda (January - December)? What's the logic behind?
Kwanini bajeti ya serikali sio ya kuanzia January mpaka December 2020 bali ni July 2019 mpaka June 2020?
What's the logic behind? Nini mantiki ya hii? Au ni maamuzi tu? Kama ni maamuzi tu kwanini mwaka hauanzi August 2019 mpaka July 2020?
Ninaomba ufafanuzi kutoka kwa wataalam wanaofahamu masuala haya. Karibuni sana wakuu.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.