Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

Utatulia tu , Kama Mungu ameshaamua
Sababu nimeamua kukufundisha haina budi,acha niendelee kukufundisha japo unanichosha kwa ujinga wako,hakuna sehemu ambayo tunasema au inasemwa Mola ameamu tunasema Mola anajua. Sasa labda uniambie wewe hili tamko kuamuaumelipata wapi ?
kwako wewe Zuri ndio jambo jipya likitokea, lakini kwa Mungu wako ni jambo alilolifahamu kabla ajakuumba sasa wewe una uhuru gani kama sio vichekesho
Ndio hakuna marudio hapo,huelewi nini au unabisha ujinga ?

Jambo huitwa marudio sharti liwe limefanyika kabla na kujua yajayo hakusemwi ni marudio.
 
Sababu nimeamua kukufundisha haina budi,acha niendelee kukufundisha japo unanichosha kwa ujinga wako,hakuna sehemu ambayo tunasema au inasemwa Mola ameamu tunasema Mola anajua. Sasa labda uniambie wewe hili tamko kuamuaumelipata wapi ?

Ndio hakuna marudio hapo,huelewi nini au unabisha ujinga ?

Jambo huitwa marudio sharti liwe limefanyika kabla na kujua yajayo hakusemwi ni marudio.
1. Usinitoe kwenye njia neno " ameshaamua", nimelitumia kama mfano , iko hivi kama Mungu wangu alipokuumba alishajua kuwa wewe Zuri ni mtu wa motoni maana Mungu anakujua wapi utaenda kabla ata ajakuumba, lakini wewe usiejua wapi utaenda ndio unaangaika maana ujui kitu juu ya future yako , hivyo alichopanga Mungu kabla ajakuumba hakuna wa kukibadilisha ata uruke ruke kama maharage, hivyo hapa hakuna uhuru zaidi ya ule wa bendera

2.Kwa Mungu ni marudio maana matendo yako aliyajua yote kwa usahihi wake kabla ata ajakuumba na bahati nzuri hakuna wa kubadilisha katika mipango yake , wewe ndio ujui kitu kwako ndio jambo jipya hakuna marudio kwako ahahaaaahahahaahaa pole sana
 
Hapa hoja yako ni nini ? mda mwingi unajadili chanzo na sababu badala ya kujadili mambo ya msingi , mimi nasema ivi
1. Chanzo cha dhambi ni Mungu mwenyewe, umesema huko juu dhambi kaumba Mungu hivyo huo mzigo ni wake , bila yeye kuumba kiumbe dhambi basi hakuna ambaye angetenda dhambi sasa vip shetani apewe lawama hizi !!!
Na ulaaniwe, mwenyez mungu anasema watu walio viziwi kusia haya zake naye anawazidishia ugumu zaidi ili ukija kuzinduka mda ushapita utabaki na majuto tu. Inaonesha dhahiri watu humu wanavuta bangi kwanza ndo wanakuja kujadili habari za dini na pia inaonesha mtu amelelewa maisha kama ngurue tu .

Hv mtu aliolelewa na wazaz wenye kujielewa kwel anashindwa kujifunza kwa nn kuna vitu akifanya anapigwa ,Jibu c lipo wazi kwasababu mzazi kaweka sheria zake ukizivunja ndo anakuchapa sasa utasema kosa LA mama yako au baba yako kwanini alikukataza usifanye kitu fulani.

Kuna vitu unaweza ukaona unafanya sifa ili uonekane ila utakuja kujuta quran inasema utumie vizur ulimi wako pia hata sheria za kidunia zinasema hivyohivyo ulimi unaponza .
 
Na ulaaniwe, mwenyez mungu anasema watu walio viziwi kusia haya zake naye anawazidishia ugumu zaidi ili ukija kuzinduka mda ushapita utabaki na majuto tu. Inaonesha dhahiri watu humu wanavuta bangi kwanza ndo wanakuja kujadili habari za dini na pia inaonesha mtu amelelewa maisha kama ngurue tu .Hv mtu aliolelewa na wazaz wenye kujielewa kwel anashindwa kujifunza kwa nn kuna vitu akifanya anapigwa ,Jibu c lipo wazi kwasababu mzazi kaweka sheria zake ukizivunja ndo anakuchapa sasa utasema kosa LA mama yako au baba yako kwanini alikukataza usifanye kitu fulani. Kuna vitu unaweza ukaona unafanya sifa ili uonekane ila utakuja kujuta quran inasema utumie vizur ulimi wako pia hata sheria za kidunia zinasema hivyohivyo ulimi unaponza .
Vip tena mbona unatoa laana kama pipi ahahhaahhaahhahaa, tuko pale pale wewe hauna uhuru wowote kwasababu Mungu wako anajua kila kitu kabla ajakuumba ivyo wewe hauna jipya unapita mule mule ulipoandikiwa
 
Labda nikuulize dini yako ipi au dini gani
Vip tena mbona unatoa laana kama pipi ahahhaahhaahhahaa, tuko pale pale wewe hauna uhuru wowote kwasababu Mungu wako anajua kila kitu kabla ajakuumba ivyo wewe hauna jipya unapita mule mule ulipoandikiwa
 
Kwa sababu kama angefanya hvyo sifa zake nyingi tusingezijua.
Kwa mfano
Sifa ya uponyaji,ukombozi,upendo,kisamehe. Na nyingine nyingi.

Aliacha hayo ili wanawe wazijue sifa zilizomo ndani yake
 
1. Usinitoe kwenye njia neno " ameshaamua", nimelitumia kama mfano , iko hivi kama Mungu wangu alipokuumba alishajua kuwa wewe Zuri ni mtu wa motoni maana Mungu anakujua wapi utaenda kabla ata ajakuumba, lakini wewe usiejua wapi utaenda ndio unaangaika maana ujui kitu juu ya future yako , hivyo alichopanga Mungu kabla ajakuumba hakuna wa kukibadilisha ata uruke ruke kama maharage, hivyo hapa hakuna uhuru zaidi ya ule wa bendera
Leo utabadilisha msamiati wote,umetoja kwenye kuamua ukasema ulitolea mfano naona umekuja kwenye kupanga sasa.

Huko nyuma nilikupa ufafanuzi mzuri sana na mwepesi mno na nikakupa kanuni ya kuwa "Maombi yanabadilisha makadirio" na ndio maana una uhuru wa kuchagua na uhuru wa kufikiria pia,na kuna swali nilikuuliza lakini hukujibu na hapa nakuuliza tena "Wewe unapoamu kufanya jambo baya lakini nafsi ikakataa na ukafanya jema" ,hapo unakuwa umetumia uhuru au umeshinikizwa ?
2.Kwa Mungu ni marudio maana matendo yako aliyajua yote kwa usahihi wake kabla ata ajakuumba na bahati nzuri hakuna wa kubadilisha katika mipango yake , wewe ndio ujui kitu kwako ndio jambo jipya hakuna marudio kwako ahahaaaahahahaahaa pole sana
Acha utoto na kubisha ujinga,marudio haina maana hiyo,marudio ni sharti jambo liwe limefanywa hapo kabla.

Nakupa mfano tena ili uone ya kuwa wewe ni mtu huru.

Nikikwambia "Beba jiwe hili" ukasema "Sibebi" hapo unakuwa umetumia nini ?

Kisha nikakwambia "Beba jiwe lile kule" ukalinyanyua kisha ukashindwa,hapo umetumia nini ? Uhuru au ?

Kisha nikakwambia "Beba jiwe la kule nwisho" kisha ukalibaba na ukaweka mahala husika,hapo umetumia nini ?

Hiyo ni mifano katika upande wako weww mwanadamu.

Upande wa Mola ni kujua na kukupa wewe nyenzo husika ambazo ni "Strong wills" na "Complete strength".
 
Leo utabadilisha msamiati wote,umetoja kwenye kuamua ukasema ulitolea mfano naona umekuja kwenye kupanga sasa.

Huko nyuma nilikupa ufafanuzi mzuri sana na mwepesi mno na nikakupa kanuni ya kuwa "Maombi yanabadilisha makadirio" na ndio maana una uhuru wa kuchagua na uhuru wa kufikiria pia,na kuna swali nilikuuliza lakini hukujibu na hapa nakuuliza tena "Wewe unapoamu kufanya jambo baya lakini nafsi ikakataa na ukafanya jema" ,hapo unakuwa umetumia uhuru au umeshinikizwa ?

Acha utoto na kubisha ujinga,marudio haina maana hiyo,marudio ni sharti jambo liwe limefanywa hapo kabla.

Nakupa mfano tena ili uone ya kuwa wewe ni mtu huru.

Nikikwambia "Beba jiwe hili" ukasema "Sibebi" hapo unakuwa umetumia nini ?

Kisha nikakwambia "Beba jiwe lile kule" ukalinyanyua kisha ukashindwa,hapo umetumia nini ? Uhuru au ?

Kisha nikakwambia "Beba jiwe la kule nwisho" kisha ukalibaba na ukaweka mahala husika,hapo umetumia nini ?

Hiyo ni mifano katika upande wako weww mwanadamu.

Upande wa Mola ni kujua na kukupa wewe nyenzo husika ambazo ni "Strong wills" na "Complete strength".
1. Hoja yako ya maombi ni dhaifu sana , kwasababu kabla ujafikiria kuomba huyo Mungu wako alishajua , yaani unapita mule mule kwenye mipango yake, tena kama kukubali au kukataa maombi pia alishajua kitambo , unachofanya ww ni kujitekenya na kucheka mwenyewe

2.Mungu anajua kila kitu mpaka namna gani hizo nyenzo zinatumika sasa wewe unaona nyenzo ni jambo kubwa , wakati majibu na matumizi ya nyenzo zile Mungu wako anajua ata kabla ujazitumia huyu vip ahahahhahaahaahaa
 
Nani kauliza mimi nimekwambia chanzo cha dhambi ni Mungu wako . kama unapinga hili niambie ? sio unaniletea story ambazo azieleweki mara morogoro sijui moto
Najua huna uwezo wa kujibu maswali yale.

Ulipoambiwa Mola ameumba dhambi kama unatumia akili vizuri hukupaswa tena kuuliza au kutaka kujua chanzo cha dhambi,haoa umefanya matumizi mabaya ya akili.

Kuwepo kwa dhambi ni jambo moja nakuitenda dhambi ni jambo lingine. Kwa maana hiyo ndio maana ule mfano wa Morogoro uliukimbia.
 
Huyu ni muhuni mvuta bangi kwa muonekano tu wamaandishi unaweza kujua tabia yake cjui kama anawajal hata wazazi wake
 
Najua huna uwezo wa kujibu maswali yale.

Ulipoambiwa Mola ameumba dhambi kama unatumia akili vizuri hukupaswa tena kuuliza au kutaka kujua chanzo cha dhambi,haoa umefanya matumizi mabaya ya akili.

Kuwepo kwa dhambi ni jambo moja nakuitenda dhambi ni jambo lingine. Kwa maana hiyo ndio maana ule mfano wa Morogoro uliukimbia.
Chanzo cha dhambi ni Mungu mwenyewe wala hakuna mwengine , unapenda kuzungumza visivyokuwepo wakati vya msingi unakimbia kimbia
 
Back
Top Bottom