Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,312
- 105,142
Exactly ni kwasababu hayupoMungu hajawahi kumtisha mtu, binadamu ndiye anayemtishia binadamu mwenzake.
Exactly ni kwasababu hayupoMungu hajawahi kumtisha mtu, binadamu ndiye anayemtishia binadamu mwenzake.
Hivi ni kwanini siku za karibuni hasa huu mwaka idadi ya watu wanaomkana Mungu imeongezeka sana?Exactly ni kwasababu hayupo
Unauthibitisho upi kuonesha kuna vitabu vimetoka kwa mungu?Swali gumu hilo lkn jibu ni hv baadh ya vitabu ni maagano ya binadamu vengine vinatoka kwa manabii ambao direct waliongea na MUNGU haswa haswa MUSA
Well ulichoandika kinajipinga chenyewe.Mkuu mbona upo obsessed sana na Mungu?
Kwangu habari za Mungu ama Shetani ni imani kama nilivyozikuta. Kutaka maoni yangu binafsi ni kunirudisha nilikotoka.
"Wanaomkana Mungu"Hivi ni kwanini siku za karibuni hasa huu mwaka idadi ya watu wanaomkana Mungu imeongezeka sana?
Huku tuendako sijui hali itakuwaje ukizingatia Democrats wameshinda uchaguzi.
Kiache hivyo hivyo, mada kama hizi kwangu ni bahati mbaya kujadili.Well ulichoandika kinajipinga chenyewe.
Mungu yupo kwa imani."Wanaomkana Mungu"
Inamaana yupo ila kuna kundi tu la watu limeamua kumkana?
Democrats kushinda uchaguzi kwasababu mfumo wao ni huru na haki haufanani na huu wa nec
Kwa bahati mbaya haiwezekani kujua ukweli wa imani kwasababu imani haithibitishikiMungu yupo kwa imani.
Hao Dems sera zao nyingi ni kama elements za 'Antichrist'.
Mkuu hili ni jukwaa huru unanishangaza unvyoandika kama tupo group la whatsup na wewe ndio admin.Kiache hivyo hivyo, mada kama hizi kwangu ni bahati mbaya kujadili.
hapana n picha tu aseeKama ni kitabu, naomba pdf yake
Watu wameandika vitabu vya dini.Nani ameandika vitabu vya dini?
Lakini wewe unaamini mungu yupo?Watu wameandika vitabu vya dini.
Bila shaka yoyote naamini Mungu yupo.Lakini wewe unaamini mungu yupo?
Inamaana huna hakika kwa fact kua yupo?Bila shaka yoyote naamini Mungu yupo.
Imani ni daraja la juu kabisa la kukubali kuliko kuwa na uhakika kwa fact.Inamaana huna hakika kwa fact kua yupo?
Kukubali kitu fulani ni kweli bila uthibitisho?Imani ni daraja la juu kabisa la kukubali kuliko kuwa na uhakika kwa fact.
Wewe umejuaje kuhusu uwepo wa mungu?Bila shaka yoyote naamini Mungu yupo.
Nimefundishwa kuwa Mungu yupo.Wewe umejuaje kuhusu uwepo wa mungu?