Kwanini mume wa Rais Samia Suluhu hajaambatana na mkewe ziarani Kenya?

Inategemea siku alizojipangia kwa kila mke. Kama ni siku tatu kwa kila mke lazima iwe hivyo hairuhusiwi kumpunja mmoja wala kumuongezea mwingine kwa vyovyote vile. Hilo ni hitaji la kiimani na ni sehemu ya ibada hivyo hawezi kukiuka. Kama ingekuwa zamu ya mama angeweza kwenda naye safari lakini asipitishe siku za wengine.
Kwahiyo zamu ya sa100 ni lini
 
Mumewe ana wake watatu sasa huenda yuko kwenye zamu za wakeze wawili hawezi kukiuka utaratibu wa kiimani kwa kumpendelea huyu
Kwa hiyo mama ana share dudu na wake wenzake hatari sana hii, what if mmoja wao ana Chylamidia? So hata mama inawezekana kupata 😂
 
ndio maana tunashindwa kushindana kibiashara kwa sababu uwezo wetu wa kufikiria umejikiti kwenye vitu visivyo na tija!!!

kuna mambo ya msingi mengi tu yenye faida ya kujadili yaliyo tokana na ziara ya Mhe. Rais. wakenya wanajadili namna sasa ya kutumia fursa za kibiashara zilizo funguka, sisi tunajadili mambo yasiyo na tija!!!

tujitafakari, huenda pia ndio sababu inayo tufanya tubakie nyuma.
Wewe ambaye unajadili biashara kila kukicha una miliki billions ngapi kwa sasa, acha unafiki wewe dada wanaume hatuna roho za namna hiyo
 
Kuwa mwislamu Raha Sana, yaan jamaa ana mbunye za kutosha tuu yaan, Sisi kwetu unaitwa mzinzi na kanisan unatengwa , Ila wanaokutenga sasa wanapigana miti kisiri Siri. I wish I could be a Muslim in jiwe's voice.
Hama Mkuu wenzio tunafaidi na hakuna stress wala presha kabisa. Wanaume wenye wake wengi huwa hawafi mapema kama wenye Mke mmoja.
 
Kwani sisi Rais wetu ni Mama Samia au Baba Samia? Tuna mambo mengi ya muhimu zaidi ya haya.
 
Kuwa mwislamu Raha Sana, yaan jamaa ana mbunye za kutosha tuu yaan, Sisi kwetu unaitwa mzinzi na kanisan unatengwa , Ila wanaokutenga sasa wanapigana miti kisiri Siri. I wish I could be a Muslim in jiwe's voice.
Just be where you wish to belong, kama sababu yenyewe ya kuutamani uislamu ni ulafi wa ngono hata waislamu hawatahitaji uwe mmoja kati yao, usitumie dini kama sababu ya kuhalalisha hitaji lako, yaani ni hivi, once wewe ni mpenda ngono utakuwa hivyo tu, ushauri anzisha dini yako kama yule nabii Tito...

Dini ina mambo mengine mengine hayatufarahishi kiubinadamu, mfano, je ukiachana na mke wako kwa talaka kadhaa, itabidi usubiri aolewe na mtu mwingine kwanza ndo uje umuoe tena.
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?

Yaani kabisa umekuja na mada ya kutuulixa hii swali,m
 
Just be where you wish to belong, kama sababu yenyewe ya kuutamani uislamu ni ulafi wa ngono hata waislamu hawatahitaji uwe mmoja kati yao, usitumie dini kama sababu ya kuhalalisha hitaji lako, yaani ni hivi, once wewe ni mpenda ngono utakuwa hivyo tu, ushauri anzisha dini yako kama yule nabii Tito...

Dini ina mambo mengine mengine hayatufarahishi kiubinadamu, mfano, je ukiachana na mke wako kwa talaka kadhaa, itabidi usubiri aolewe na mtu mwingine kwanza ndo uje umuoe tena.
Hayo ni yako mkuu, wala hayanihusu, na umejipendekeza Tu kunijibu....!! Tamaa ya ngono ni shart la hiari na sio dhambi madam iwe halali, Kuwa wake wanne au mmoja just your choice ..usnitishe na dini yako mandazi hyo boss
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?


2766199_FB_IMG_1620411212769.jpg
 
Kuwa mwislamu Raha Sana, yaan jamaa ana mbunye za kutosha tuu yaan, Sisi kwetu unaitwa mzinzi na kanisan unatengwa , Ila wanaokutenga sasa wanapigana miti kisiri Siri. I wish I could be a Muslim in jiwe's voice.
Wee jamaaaa
 
Nadhani huku sasa ni kuingilia the right to privacy ya rais wetu.

Kwa vile tumezoea kuwa na rais mwanaume, hivyo mkewe huacha kazi na kuwa a 1st Lady hivyo kuwa free kuandamana na mumewe kokote. Lakini kwa vile sasa rais ni mwanamke, mume wa rais, hawajibiki kuacha shughuli zake ili kugeuka a first gentlemen.

P

2766199_FB_IMG_1620411212769.jpg
 
Back
Top Bottom