In mexico hiyo siyo habari unamkamata drug lord wanaibuka wengine! Hivi nyiye vita ya drugs mnaijua au mnaongea tuu? Mmefanya research? My friend drugs wakikamatwa kingpins wanaibuka kingpins wengine na bei ya mzigo hupanda! You cant win war in drugs wameshindwa usa na china utaweza tz! Au mnaona mfano wa phillipines mnadhan mtaweza? Kuweni serious mpaka leo sijasikia one kg ya cocaine or heroine iliyokamatwa zaidi ya vikete kadhaa mbaya zaidi mnakamata mirungi na bhangi mnatangaza tumekamata drugs so and so! Yaani wa tz kwa kufuata upepo nawavulia kofia! Toka lini bhangi na mirungi ikawa class moja na heroin, cocaine etc
Huyo mfalme wa madawa ya kulevya drug lord Kiboko alikuwa katajwa saana wakati wa kipindi cha urais awamu ya nne lakini hakuna kiongozi serikalini aliyeshtuka lakini kipindi hiki cha Dr Magufuli nimeona mafanikio- kudos President Magufuli. Watoto wa viongozi walikuwa wanatajwa sana kwenye mitandao ya nchi za nje kama China na China ya Macau na HongKong check website www.v2catholic.com tangu 2005 na walionaswa China wazazi wakatumia balozi zetu kunusuru ku nyongwa, hand written letters za walionaswa huko ni self explanatory!!!!!