mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
sasa bangi na mirungi nayo ni madawa ya kulevya wakati hapa namanga watu wanavitu.ia miaka na miaka wala hawapati mazara
Shida anayetajwa sio anayekamatwa bali hukamatwa wale wanaotaja ila makonda ashafanya uchunguzi zaidi ya muongo mmoja kwahiyo list anayo vuta subiraHao wanojulika ni rimoko au??!
Funguka mkuu
pengine hawa unaowajua siyo wahusika au ina ushahidi mkuuInawezekana hujamuelewa unadhani kama tuandamane kupinga ama tufanyeje maana Mheshimiwa Rais kasema I wish angekuwa IGP unajua maana yake
Halafu mbona wanakamatwa wale tusiowajua wanaojulikana hawakamatwi
wee ndo zuzu kweli,kwa hiyo kete ziachwe watafute tu kg?Wanaigiza hao bro, fake allegations, fake investigation, kazi kuwapima watu vinasaba, tunataka mtu anakutwa na kg kadhaa hapo tutawaelewa.
Hata wanaokamatwa pia bado ni watuhumiwa bado hawajathibitishwa na mahakama kuwa ni wahusika ama vipi mkuu?pengine hawa unaowajua siyo wahusika au ina ushahidi mkuu
Unadhani unashindwa kukamata wauza Bange kisa Wauza Bange wana nguvu?Ahaaaaa kama dhaifu serikali iwakamate wauza bange tuuuu
unamjua nani? kama unamjua peleka taarifa kwa wahusika, kichaka cha kujificha wenye skendo si kipo wee taja tu.Inawezekana hujamuelewa unadhani kama tuandamane kupinga ama tufanyeje maana Mheshimiwa Rais kasema I wish angekuwa IGP unajua maana yake
Halafu mbona wanakamatwa wale tusiowajua wanaojulikana hawakamatwi
Weli seidi brodaIn mexico hiyo siyo habari unamkamata drug lord wanaibuka wengine! Hivi nyiye vita ya drugs mnaijua au mnaongea tuu? Mmefanya research? My friend drugs wakikamatwa kingpins wanaibuka kingpins wengine na bei ya mzigo hupanda! You cant win war in drugs wameshindwa usa na china utaweza tz! Au mnaona mfano wa phillipines mnadhan mtaweza? Kuweni serious mpaka leo sijasikia one kg ya cocaine or heroine iliyokamatwa zaidi ya vikete kadhaa mbaya zaidi mnakamata mirungi na bhangi mnatangaza tumekamata drugs so and so! Yaani wa tz kwa kufuata upepo nawavulia kofia! Toka lini bhangi na mirungi ikawa class moja na heroin, cocaine etc
Wewe ni miongoni mwao je niendelee na orodha nyingineunamjua nani? kama unamjua peleka taarifa kwa wahusika, kichaka cha kujificha wenye skendo si kipo wee taja tu.
Sure Mkuu! Hivi Drugs Lord WA kibongo washafanya jambo gani la kutisha hapa!?jamaa anataka kulinganisha na jamaa wa mexico ambao waliwahi kuvamia kituo kikubwa cha polisi na kuua wote kisha kuondoka na bosi wao/druglord. Au mzee wa Plata or Promo colombia aliyekodi jeshi akafunga mji mzima kama posta hapo kwa risasi mabomu na vifaru na kufumua mahakama kuu kuchoma kila ushahidi. Siasa isitufanye kuwa wapinzani na vitu ambavyo vinawezekana. vita ni ngumu lakini kwa level ya tz inawezekana bado
Waliachiwa kwa dhamana, usiniulize sasa.hivi wako wapi!Hivi wale wapakistan walikutwa na maburungutu ya hela na mijikilo ya dawa za kutosha , hile sinema iliishia wapi maaana siwaelewi hawa watawala
Gooooo ahead chadema namie niandalieni nafasi huko nakuja, hahhha hiki chama.Wewe ni miongoni mwao je niendelee na orodha nyingine
Unatokea wapi kwani huko uliko huna nafasi?Gooooo ahead chadema namie niandalieni nafasi huko nakuja, hahhha hiki chama.
Nataka namie nifike kwenye dampo, kwenye cha makapi.Unatokea wapi kwani huko uliko huna nafasi?
Mchoma hindi huanza na la kwakeNataka namie nifike kwenye dampo, kwenye cha makapi.
Itakuwa hakutaka kushare na Aggy...Mbona simple..inasemekana wema alimbania papuch mungu wa dar...ndo vita ikaanza mungu akiamin kabsa lazma wema atakuwa anatumia maana hawez kumkazia katka hali ya kawaida..